Tarehe iliyowekwa: September 29th, 2020
Manispaa ya Kinondoni kwa kushirikiana na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), leo wameadhimisha siku ya Moyo Duniani kwa kutoa huduma mbalimbali kwa wanachi.
Maadhimisho hayo yaliyoenda kwa kaul...
Tarehe iliyowekwa: September 28th, 2020
Kinondoni imetoa onyo kali kwa watu wanaouza wanyama jamii ya mbwa na Paka kiholela kwani kwa kufanya hivyo ni kinyume cha sheria ya ufugaji mjini.
Onyo hilo limetolewa leo na katibu Tawala w...
Tarehe iliyowekwa: September 26th, 2020
Sherehe hizo zinazoambatana na kauli mbiu isemayo "familia na jamii tuwajibike kuwatunza wazee" zinatarajiwa kufanyika siku ya Jumamosi Tar 3 Oktoba katika viwanja vya Mnazi mmoja yakiwa ni makubalian...