Tarehe iliyowekwa: June 19th, 2020
Pongezi hizo zimetolewa na Kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kinondoni kwenye kikao cha majumuisho baada ya ziara ya siku mbili ya ukaguzi wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo.
...
Tarehe iliyowekwa: June 18th, 2020
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda anatarajiwa kufanya ziara ya siku mbili katika Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni yenye majimbo mawili, kuanzia Juni 20 hadi 21 mwaka huu itakayohusi...
Tarehe iliyowekwa: June 17th, 2020
Zoezi hilo la ugawaji wa hati za viwanja kwa wakaazi wa maeneo ya Nakasangwe ni kufuatia ukamilishaji wa upimaji viwanja 9741vya wananchi hao walioendeleza maeneo kiholela hali iliyopeleke...