• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

Makumbusho

HISTORIA FUPI:

Kata ya Makumbusho ilianzishwa mwaka 1999 bada ya kugawanywa kwa Kata ya Mwananyamala. Asili ya jina hili ni kijiji cha Makumbusho ambapo palikuwa na kituo cha basi kilichoitwa Makumbusho.

 

IDADI YA MITAA:

Kata ya Makumbusho ni moja Kata zinazounda Halmshauri ya Manispaa ya Kinondoni, aidha Kata hii imepakana na Kata ya Kijitonyama upande wa Kasikazini, Kusini imepakana na Kata ya Ndugumbi, Mashariki imepakana na Kata ya Mwananyamala na Magharibi imepakana na Kata ya Tandale.

Idadi ya Watu

Kwa mjibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022, Kata ya Makumbusho ina jumla ya Watu 52347 kati ya hao Wanaume wapo 25876 na Wanawake ni 26471.

Idadi ya Mitaa 

Kata ya Makumbusho Ina jumla ya Mitaa Sita ambayo ni;

1 Mtaa wa Minazini

2 Mtaa wa Makumbusho

3 Mtaa wa Mchangani

  • Mtaa wa Kisiwani
  • Mtaa wa Sindano
  • Mtaa wa Mbuyuni.
  • Miundombinu ya Barabara

Kata ya Makumbusho imepitiwa na Barabara kuu Mbili ambazo ni Barabara ya Mwananyamala na Barabara ya Mwinyijuma, Mbali na Barabara hizo kuu mbili pia Kata ya Makumbusho ina jumla ya Barabara 28 katika Mitaa yote Sita, kati ya hizo 2 za kiwango cha lami, 1 ya zege na 25 ni za vumbi.

Biashara na Uwekezaji

Kata ya Makumbusho ina Jumla ya Masoko 2. Ambayo ni Soko la Mfavesco na Soko la Kisiwani, pia Wananchi na Wakazi wa Kata ya Makumbusho wanajishughulisha na Biashara ndogo ndogo, Kilimo mjini na Ajira.

Hali ya Elimu katika Kata

Kata ya Makumbusho ina jumla ya Shule Saba ambazo zote zinamilikiwa na Serikali, kati ya hizo Sita ni za Msingi na Moja ya Sekondari.

Shule za Msingi

Jina la Shule
Wanafunzi
Jumla
Walimu
    Jumla
Makumbusho S/m
Me
Ke
767
Me
Ke
20
404
363
4
16
Victoria S/m
Me
Ke
697
Me
Ke
13
343
353
2
11
Mwananyamala S/m
Me
Ke
587
Me
Ke
15
318
269
3
12
Minazini S/m
Me
Ke
845
Me
Ke
14
439
406
1
13
Mwananyamala Kisiwani
Me
Ke
1420
Me
Ke
22
Mchangani S/m
Me
Ke
1526
Me
Ke
28
740
789
4
24


Hali ya Afya katika Kata

Kata ya Makumbusho ina jumla ya Zahanati Nne ambapo 3 ni Sekta Binafsi na 1 ni Serikali. Pia kuna Kituo Kimoja cha Afya ambacho ni Sekta Binafsi, hakuna Hosptali yoyote.

S/n
Jina
Hadhi
Umiliki
1
KAM Mwananyamala
Zahanati
Binafsi
2
Kisiwani
Zahanati
Binafsi
3
Makumbusho
Zahanati
Serikali
4
Minazini
Zahanati
Binafsi
5
Sisa
Kituo cha Afya
Binafsi

Maendeleo ya Jamii

Mahusiano na Ushirikiano na Wadau wa Maendeleo

Kata ya Makumbusho inashirikiana vema na Wadau wa Maendeleo katika kuhakikisha gurudumu la Maendeleo linasonga mbele, ambapo Wadau wanaoshirikiana nao ni wafanyabiashara ndogo ndogo.

Hali ya Ulinzi na Usalama.

Hali ya ulinzi na usalama katika Kata ya Makumbusho inaridhisha kwani amani imetawala kutokana na uwepo wa vituo Viwili vya Polisi ambavyo ni; Kituo cha Polisi cha Mwinjuma na Kituo cha Polisi cha Minazini. Pamoja na uwepo wa Vituo hivyo vya Polisi kila Kata ina kikundi cha ulinzi shirikishi ambao wanashirikiana bega kwa bega na Askari Polisi kuhakikisha ulinzi unakuwa imara siku zote.

Maafisa Ngazi ya Kata

Mtendaji Kata 1

Watendaji wa Mitaa 6

Afisa Ustawi wa Jamii 1

Afisa Elimu Kata 1

Afisa Kilimo na Mifugo 1

Afisa Afya 2

Miradi ya Maendeleo

Shule ya Msingi Mchangani

Shule ya Msingi Makumbusho

Kata ya Makumbusho ina jumla ya sita (6) mitano ya Kiserikali ambayo ni: -

  1. Makumbusho
  2. Mchangani
  3. Mbuyuni
  4. Kisiwani
  5. Sindano
  6. Minazini


MAHUSIANO NA WADAU WA MAENDELEO:

Mahusiano ya wadau wa maendeleo na uongozi wa Kata na Mitaa ni mzuri, ikiwemo kampuni ya ulinzi ambayo Kata inashirikiano nayo katika masuala ya maendeleo.

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.