• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fukwe na Visiwa
    • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Matukio ya Utalii
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Iliyopangwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Habari
    • Matukio

Makongo

HISTORIA FUPI:

Kata ya Makongo ni miongoni mwa Kata 20 za Manispaa ya Kinondoni. Kata hii imetokana na Kata ya Kawe. Asili ya jina Makongo ni aina ya miti ya kujengea (Makongo) ambayo ilikuwa inatumiwa na wenyeji wa eneo hilo ambao walikuwa ni Wamatumbi na Wangindo. Kata ya Makongo imepakana na Manispaa ya Ubungo.

 

IDADI YA MITAA:

Kata ya Makongo ina jumla ya mitaa minne (04) ya Kiserikali ambayo ni: -

  1. Mtaa wa Changanyikeni
  2. Mtaa wa Makongo Juu
  3. Mtaa wa Mlalakuwa
  4. Mtaa wa Mbuyuni

 

HALI YA ELIMU KATIKA KATA:

Hali ya elimu katika Kata ni ya kuridhisha, hasa elimu ya awali, msingi, sekondari na uwepo wa chuo.


SHULE ZA MSINGI ZA SERIKALI:

Kata ya Makongo inazo shule za msingi tatu (03) za serikali kama ifuatavyo: -

  1. Shule ya msingi Changanyikeni
  2. Shule ya msingi Makongo Juu
  3. Shule ya msingi Londa

 

SHULE ZA AWALI ZA BINAFSI KATIKA KATA:

Kata ya Makongo ina shule za awali za binafsi kumi (10) kama ifuatavyo: -

  1. Elite Spirit
  2. Vanco 
  3. Codafrica
  4. Bells 
  5. Winnie 
  6. City Pre
  7. Sky Professional
  8. Glorious
  9. Winner
  10. Epic International


SHULE ZA MSINGI ZA BINAFSI:

Kata ya Makongo inazo shule za msingi tatu (03) za binafsi kama ifuatavyo: -

  1. Shule ya msingi St. Columbas
  2. Shule ya msingi Naitedam
  3. Shule ya msingi City Academy

 

SHULE ZA SEKONDARI ZA SERIKALI:

Kata ya Makongo inazo shule mbili (02) za sekondari za serikali kama ifuatavyo: -

  1. Shule ya sekondari Makongo Juu
  2. Shule ya sekondari Makongo high school


SHULE ZA SEKONDARI ZA BINAFSI:

Kata ya Makongo inazo shule mbili (02) za sekondari za binafsi kama ifuatavyo: -

  1. Shule ya sekondari White Lake
  2. Shule ya sekondari George Washington


CHUO KIKUU KILICHOPO KATIKA KATA:

Kata ya Makongo ina Chuo Kikuu kimoja cha serikali kinachojulikana kwa jina la Chuo Kikuu Ardhi.


HALI YA AFYA:

Hali ya Afya katika Kata ya Makongo ni ya kuridhisha kwani ina Hospitali na Zahanati za serikali.


HOSPITALI ILIYOPO KATIKA KATA:

Kata ya Makongo ina Hospitali moja ya rufaa ya mama na mtoto inayomilikiwa na jeshi inayojulikana kwa jina la Benedicoy.


ZAHANATI ZA SERIKALI ZILIZOPO KATIKA KATA:

Kata ya Makongo ina Zahanati tatu za serikali kama ifuatavyo: -

  1. Zahanati ya Makongo Juu
  2. Zahanati ya Mlalakuwa
  3. Zahanati ya Jeshi la Anga Changanyikeni


HALI YA MIUNDOMBINU YA BARABARA:

Hali ya miundombinu ya barabara katika Kata ya Makongo ni ya kuridhisha. Hali ya miundombinu sio rafiki katika mtaa wa Makongo Juu, kwa kuwa maeneo yake yana mwinuko.


MAHUSIANO NA WADAU WA MAENDELEO:

Mahusiano ya wadau wa maendeleo na uongozi wa Kata na mitaa ni mazuri, kwani wako mstari wa mbele kuchangia shughuli za kijamii na miradi ya maendeleo.

Matangazo

  • KUFUTA TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI March 14, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA March 13, 2023
  • TANGAZO KWA WASIOLIPIA VIWANJA BOKO DOVYA (KWA SOMJI) NA SALASALA February 15, 2023
  • MABADILIKO YA SIKU YA MAFUNZO YA WASIMAMIZI WA MAUDHUI, WASIMAMIZI WA TEHAMA NA MAKARANI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 28, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • JAPAN YAIPATIA MSAADA MZIMUNI SEKONDARI

    March 15, 2023
  • VIKUNDI VYAASWA MATUMIZI SAHIHI YA MIKOPO

    February 18, 2023
  • "HAKUNA TIMU KUBWA ZAIDI YA KMC FC"

    February 18, 2023
  • ULINZI NI KIPAUMBELE KINODONI-DC SAAD

    February 12, 2023
  • Tazama zote

Picha Jongefu

VIKUNDI VILIVYOSEPA NA BILIONI 11 VYAKALIWA KOONI MANISPAA YA KINONDONI. REJESHENI...
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • TAARIFA KWA UMMA
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.