• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

Makongo

HISTORIA FUPI:

Kata ya Makongo ni miongoni mwa Kata 20 za Manispaa ya Kinondoni. Kata hii imetokana na Kata ya Kawe. Asili ya jina Makongo ni aina ya miti ya kujengea (Makongo) ambayo ilikuwa inatumiwa na wenyeji wa eneo hilo ambao walikuwa ni Wamatumbi na Wangindo. Kata ya Makongo imepakana na Manispaa ya Ubungo.

 

IDADI YA MITAA:

Kata ya Makongo ina jumla ya mitaa minne (04) ya Kiserikali ambayo ni: -

  1. Mtaa wa Changanyikeni
  2. Mtaa wa Makongo Juu
  3. Mtaa wa Mlalakuwa
  4. Mtaa wa Mbuyuni

 

  • JIOGRAFIA YA KATA
  • Kata ya Makongo imepakana na Upange wa Mahariki, Kata ya Kijitonyama na kata ya Ubungo,
  • Manispa ya Ubungo
  • Upande wa Magharibi kata Goba na Mbezi juu
  • Upande wa kaskazini kata ya saranga Manispaa ya Ubungo
  • IDADI YA WAKAZI
  • Me= 16991
  • Ke =18567
  • IDADI YA MITAA
  • Mtaa wa Mlalakuwa
  • Mtaa wa Makongo juu
  • Mtaa wa Mbuyuni
  • Mtaa wa Changanyikeni
  • UKUBWA
  • Ukubwa wa eneo ni KM2 18.1
  • Hali ya Elimu katika kata
  • Kata ya Makongo ina shule za Msingi na Sekondari kama ifuatavyo
  • Shule za Msingi binafsi 3
  • Shule za Msingo serikali  3

                   ii) Shule za sekondari

  • Shule za sekondari za binafsi 1
  • Shule za sekondari za serikali 3

                   iii) Shule za sekondari kidato cha Tano na sita 1

iv) Day care 22

v) Shule za awali 6

              a) Shule za binafsi za msingi

  • ELITE DIGNITY SCHOOL  Idadi me 164 ke 206
  • ST COLUMBAS SCHOOL Idadi me 100 ke 87
  • CITY ACADEMY SCHOOL Idadi me 115 ke 118

                  b) Shule za Msingi serikali  

  • SHULE YA MSINGI MAKONGO  Idadi Me 481   Ke 436
  • SHULE YA MSINGI CHANGANYIKENI Idadi  Me 408   Ke422
  • SHULE YA MSINGI LONDA         Idadi Me 284   Ke  251

C) Shule za Sekondari Binafsi

      i) WHITE LAKE SECONDARY SCHOOL Idadi  KE 127 ME 157

d) Shule za sekondari serikali

  • MAKONGO JUU SEKONDARI  Idadi  Me 301  Ke 401
  • MAKONGO HIGH SCHOOL   Idadi  Me 256  Ke 133
  • CHANGANYIKENI SEKONDARI  Idadi  Me 56  Ke 66

e) Sekondari kidato cha tano na sita

  • MAKONGO HIGHS CHOOL     Idadi  Me 122  Ke 80
  • HALI YA AFYA
  • Zahanati za SERIKALI 3
  • Zahanati ya Changanyikeni
  • Zahanati  ya Makongo
  • Zahanati ya Mlalakuwa
  • Zahanati  Binafsi  2
  • Hospital  jeshi
  • Lugalo
  • BIASHARA
  • Kiwanda    1 cha maji
  • HERITAGE
  • MAHUSIANO NA MASHIRIKA
  • Wananchi hutumia zahanati ya jeshini pia zahanati ya chuo cha ardhi
  • Dawasa pia wapo kata ya Makongo ambao wote wamekuwa bega kwa bega kuhakikisha shughuli za kimaendeleo hazikwami katika Kata.
  • HALI YA  MIUNDO  MBINU

Barabara kuu ziko 2

  • Makongo road
  • Barabara ya rada

    Barabara za Mitaa Kwa ujumla 245

  • Mtaa wa Mlalakuwa   = 57
  • Mtaa wa Makongo juu = 114
  • Mtaa wa changanyikeni= 46
  • Mtaa wa mbuyuni = 28
  • 11) MIRADI YA MAENDELEO
  • Inayoendelea
    • Ujenzi wa Zahanati changanyikeni 
    • Ujenzi wa sekondari changanyikeni 
    • Ujenzi wa Madarasa 18 shule ya Msingi Makongo juu 
    • Ujenzi wa Matundu 13 ya choo shule ya Msingo Changanyikeni
    • -Umekamilika-
  • 12) ULINZI NA USALAMA

           Mitaa yote 4 ina vikundi vya ulinzi shirikishi

           Kata ya Makongo inatumia kituo cha polisi cha chuo kikuu cha Dar-es- salaam.

    13) IDADI YA MAAFISA NGAZI YA KATA

    • Mratibu wa Elimu 1
    • Mtendaji Kata 1
    • Watendaji wa Mitaa 4
    • Maedeleo ya jamii 1
    • Ustaei wa jamii 1
    • Afisa  Afya 2
    • Afisa mifugo 1
    • Afisa kilimo1
    • Polisi kata1
    • Afisa uhamiaji1

Maendeleo ya Jamii

14. Vikundi vya Mikopo

-Vilivyopokea mkopo ni 159 tangu zoezi la mikopo isiyokuwa na riba ilipoanza kutolewa

-Kiasi kilichopokelewa ni Tsh 634,667,000/=

-Vikundi vya wadaiwa mpaka sasa ni   82

CHUO KIKUU KILICHOPO KATIKA KATA:

Kata ya Makongo ina Chuo Kikuu kimoja cha serikali kinachojulikana kwa jina la Chuo Kikuu Ardhi.


HALI YA AFYA:

Hali ya Afya katika Kata ya Makongo ni ya kuridhisha kwani ina Hospitali na Zahanati za serikali.


HOSPITALI ILIYOPO KATIKA KATA:

Kata ya Makongo ina Hospitali moja ya rufaa ya mama na mtoto inayomilikiwa na jeshi inayojulikana kwa jina la Benedicoy.


ZAHANATI ZA SERIKALI ZILIZOPO KATIKA KATA:

Kata ya Makongo ina Zahanati tatu za serikali kama ifuatavyo: -

  1. Zahanati ya Makongo Juu
  2. Zahanati ya Mlalakuwa
  3. Zahanati ya Jeshi la Anga Changanyikeni


HALI YA MIUNDOMBINU YA BARABARA:

Hali ya miundombinu ya barabara katika Kata ya Makongo ni ya kuridhisha. Hali ya miundombinu sio rafiki katika mtaa wa Makongo Juu, kwa kuwa maeneo yake yana mwinuko.


MAHUSIANO NA WADAU WA MAENDELEO:

Mahusiano ya wadau wa maendeleo na uongozi wa Kata na mitaa ni mazuri, kwani wako mstari wa mbele kuchangia shughuli za kijamii na miradi ya maendeleo.

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.