Tarehe iliyowekwa: October 2nd, 2023
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila amewataka wachimbaji wa mchanga katika bonde la mto Mpiji kufuata Kanuni na Sheria za uhifadhi wa Mito zilizowekwa.
Mhe. Chalamila ameyasema hayo...
Tarehe iliyowekwa: October 1st, 2023
Wazee kutoka Manispaa ya Kinondoni waombwa kusimamia maadili ya vijana na watoto wote kwenye maeneo yao wanayoishi.
Hayo yamesemwa na Katibu Tawala wa Wilaya ya Kinondoni Bi. Stella Msofe katika ma...
Tarehe iliyowekwa: September 30th, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe. Saad Mtambule ameahidi kuendelea kushirikiana na wadau wa mazingira ili kuhakikisha mazingira yanakuwa safi na salama hata wakati wa mvua za mafuriko.
Mhe. Saad ame...