• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fukwe na Visiwa
    • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Matukio ya Utalii
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Iliyopangwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Habari
    • Matukio

Kinondoni

HISTORIA FUPI:

Kata ya Kinondoni ni miongoni mwa Kata 20 zilizomo ndani ya Manispaa ya Kinondoni.

Kata ya Kinondoni ilianzishwa mwaka 2000 baada ya Kata Hananasif kugawanywa. Asili ya jina la Kinondoni linatokana na jina la mtu mmoja miaka ya nyuma ambaye alikuwa akiitwa KILONDONI mwenye asili ya kabila la Wanyamwezi ambaye alikuwa ni mkulima wa mpunga katika mashamba eneo la Biafra ambapo ndipo kulikuwa na majaruba ya mpunga.

Kutokana na umaarufu wa Bwana KILONDONI watu wakawa wamasema tunaenda kwa bwana KILONDONI ndipo likazalliwa jina la Kionondoni sababu watu wengi walikuwa wanashindwa kutamka KILONDONI wakawa wanatamka KINONDONI, hivyo kupekelekea jina la KINONDONI kuzaliwa.

IDADI YA MITAA:

Kata ya Kinondoni ina jumla ya mitaa minne (4) ya Kiserikali ambayo ni: -

  1. Mtaa wa Kumbukumbu
  2. Mtaa wa Kinondoni shamba
  3. Mtaa wa Kinondoni Mjini
  4. Mtaa wa Ada Estate


HALI YA ELIMU KATIKA KATA:

Hali ya elimu katika Kata ni ya kuridhisha, hasa elimu ya msingi, sekondari, vituo vya kulea watoto wadogo pamoja na uwepo wa Chuo cha Elimu ya Juu.


SHULE YA AWALI YA NA MSINGI YA SERIKALI:

Kata ya Kinondoni ina shule moja ya awali na msingi ya serikali ijulikano kwa jina la shule ya msingi Kumbukumbu.


SHULE ZA AWALI YA NA MSINGI YA SERIKALI:

Kata ya Kinondoni ina shule mbili (02) za awali na msingi ya serikali kama ifuatavyo: -

  1. Shule ya awali na msingi  ya Sunray
  2. Shule ya awali na msingi ya Mtambani Islamic


SHULE ZA SEKONDARI:

Kata ya Kinondoni ina shule tatu (03) za sekondari za binafsi na shule moja ya serikali.


CHUO CHA ELIMU YA JUU:

Kata ya Kinondoni ina Chuo kimoja cha Elimu ya Juu kijulikanacho kwa jina la Chuo Kikuu Huria.


HALI YA AFYA:

Hali ya Afya katika Kata ya Kinondoni ni ya wastani kwani ina jumla ya Hospitali na Vituo vya Afya vya binafsi


HOSPITALI ZA BINAFSI ZILIZOPO KATA YA KINONDONI:

Kata ya Kinondoni ina jumla ya Hospitali sita (06) za binafsi kama ifuatavyo: -

  1. Hospitali ya Dr. Agawal
  2. Hospitali ya Furaha
  3. Hospitali ya Tanzania Nordic
  4. Hospitali ya Saifee
  5. Hospitali ya Nordic
  6. Hospitali ya Mount Ukombozi


ZAHANATI ZA BINAFSI ZILIZOPO KATA YA KINONDONI:

Kata ya Kinondoni ina jumla ya Zahanati tatu (03) za binafsi kama ifuatavyo: -

  1. Zahanati ya MICO MARS
  2. Zahanati ya MICO MWEMBENI
  3. Zahanati ya MICO MKWAJUNI


HALI YA MIUNDOMBINU YA BARABARA:

Hali ya miundombinu ya barabara katika Kata ya Kinondoni inaridhisha.


MAHUSIANO NA WADAU WA MAENDELEO:

Mahusiano na wadau wa maendeleo katika ngazi ya Kata ikiwemo kampuni binafsi n.k ni mazuri sana kwani wamekuwa wanasaidia sana kwenye shughuli mbalimbali za kiserikali na kijamii kwenye nyanja za maendeleo.

Matangazo

  • KUFUTA TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI March 14, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA March 13, 2023
  • TANGAZO KWA WASIOLIPIA VIWANJA BOKO DOVYA (KWA SOMJI) NA SALASALA February 15, 2023
  • MABADILIKO YA SIKU YA MAFUNZO YA WASIMAMIZI WA MAUDHUI, WASIMAMIZI WA TEHAMA NA MAKARANI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 28, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • JAPAN YAIPATIA MSAADA MZIMUNI SEKONDARI

    March 15, 2023
  • VIKUNDI VYAASWA MATUMIZI SAHIHI YA MIKOPO

    February 18, 2023
  • "HAKUNA TIMU KUBWA ZAIDI YA KMC FC"

    February 18, 2023
  • ULINZI NI KIPAUMBELE KINODONI-DC SAAD

    February 12, 2023
  • Tazama zote

Picha Jongefu

VIKUNDI VILIVYOSEPA NA BILIONI 11 VYAKALIWA KOONI MANISPAA YA KINONDONI. REJESHENI...
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • TAARIFA KWA UMMA
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.