Tarehe iliyowekwa: June 5th, 2023
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila amewataka Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi, Makatibu Tawala wa Wilaya na Mameya wa Halmashauri zote za mkoa wa Dar es Salaam kuwa na mikakati madhubuti ...
Tarehe iliyowekwa: May 19th, 2023
Baraza la Madiwani la Manispaa ya Kinondoni, limempongeza Mkuu wa Divisheni ya Elimu Msingi kwa hatua za ubunifu kwa lengo la kuinua ufaulu.
Pongezi hizo zimetolewa leo Mei 19, 2023 wakati wa k...
Tarehe iliyowekwa: March 15th, 2023
Shule ya Sekondari Mzimuni ya Manispaa ya Kinondoni, imepata msaada wa shilingi za Kitanzania milioni 227 sawa na Dola za Kimarekani 98,258 kwa ajili ya uboreshaji mazingira.
Msaada huo ulioshuhudi...