• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fukwe na Visiwa
    • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Matukio ya Utalii
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Iliyopangwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Habari
    • Matukio

Mbezi Juu

HISTORIA FUPI:

Eneo la Kata ya Mbezi Juu hapo awali lilikuwa ni eneo ambao lilikuwa shamba la Mkonge na wakazi wake wengi walitokana na kabila la Wamakonde.

Asili ya jina la Mbezi Juu limetokana na jiografia yake ambayo ni ya milima na mabonde na hivyo kupelekea madhari yake kuonekana kuwa juu sana.

Kata ya Mbezi Juu imetoka kwenye ubavu wa eneo la Kawe ambapo mwaka 2009 iligawanywa na kupatikana Kata ya Mbezi Juu. Kata hii inakadiriwa kuwa na wakazi takribani 41,821

 

IDADI YA MITAA:

Kata ya Mbezi Juu ina jumla ya mitaa mitano (05) ya Kiserikali ambayo ni: -

  1. Ndumbwi
  2. Mbezi Juu
  3. Mbezi Kati
  4. Mbezi Mtoni
  5. Mbezi Jogoo


HALI YA ELIMU KATIKA KATA:

Hali ya elimu katika Kata ni ya kuridhisha, hasa elimu ya awali, msingi, sekondari na uwepo wa vyuo vya elimu ya kati.


SHULE ZA AWALI ZA BINAFSI:

Kata ya Mbezi Juu inayo shule moja ya awali ya binafsi ijulikanayo kwa jina la Kyomo

 

SHULE ZA MSINGI ZA SERIKALI NA ZA BINAFSI:

Kata ya Bunju inazo shule tano (05) za msingi za serikali na za binafsi kama ifuatavyo: -

  1. Shule ya msingi Mbezi Juu - Serikali
  2. Shule ya msingi Mbezi Ndumbwi – Serikali
  3. Shule ya msingi St. Mary’s – Binafsi
  4. Shule ya msingi Mt. Kibo – Binafsi
  5. Shule ya msingi Kilimani - Binafsi


SHULE ZA SEKONDARI ZA SERIKALI NA ZA BINAFSI:

Kata ya Bunju inazo shule tano (05) za sekondari za serikali na za binafsi kama ifuatavyo: -

  1. Shule ya sekondari Mbezi Juu - Serikali
  2. Shule ya sekondari Mbezi Beach - Binafsi
  3. Shule ya sekondari St. Mary’s – Binafsi
  4. Shule ya sekondari Braeburn International – Binafsi
  5. Shule ya sekondari Laureate - Binafsi


VYUO VYA ELIMU YA KATI VYA BINAFSI:

Kata ya Bunju inavyo vyuo vitatu (03) vya elimu ya kati vya binafsi kama ifuatavyo: -

  1. Masana Nursing Training College
  2. Goig VETA
  3. Mount Ukombozi Health Science Training College


HALI YA AFYA:

Hali ya Afya katika Kata ya Mbezi Juu ni ya kuridhisha kwani ina Zahanati ya serikali na za binafsi.


ZAHANATI ZILIZOPO KATA YA MBEZI JUU:

Zahanati zilizopo katika Kata ya Mbezi Juu ni 5 ambapo 1 kati ya idadi tajwa ni ya serikali inayojulikana kwa jina la Zahanati ya Ndumbwi. Zahanati za binafsi ni: SUPER SPECIALIZED CLINIC, KETO, GEORGE na TAIFO.


HALI YA MIUNDOMBINU YA BARABARA:

Hali ya miundombinu bado ni mibovu, barabara nyingi ni za vumbi kwa hiyo wakati wa mvua miundombinu hiyo inakuwa sio rahisi kupitika. Barabara za mitaa yote hakuna ambayo ni ya kiwango cha lami, zaidi ya barabara kubwa ambayo inanzia Tangibovu kwenda Goba.


MAHUSIANO NA WADAU WA MAENDELEO:

Mahusiano na wadau wa maendeleo katika ngazi ya Kata ikiwemo kampuni binafsi n.k ni mazuri sana kwani wamekuwa wanasaidia sana kwenye shughuli mbalimbali za kiserikali na kijamii kwenye nyanja za maendeleo.

Matangazo

  • KUFUTA TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI March 14, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA March 13, 2023
  • TANGAZO KWA WASIOLIPIA VIWANJA BOKO DOVYA (KWA SOMJI) NA SALASALA February 15, 2023
  • MABADILIKO YA SIKU YA MAFUNZO YA WASIMAMIZI WA MAUDHUI, WASIMAMIZI WA TEHAMA NA MAKARANI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 28, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • JAPAN YAIPATIA MSAADA MZIMUNI SEKONDARI

    March 15, 2023
  • VIKUNDI VYAASWA MATUMIZI SAHIHI YA MIKOPO

    February 18, 2023
  • "HAKUNA TIMU KUBWA ZAIDI YA KMC FC"

    February 18, 2023
  • ULINZI NI KIPAUMBELE KINODONI-DC SAAD

    February 12, 2023
  • Tazama zote

Picha Jongefu

VIKUNDI VILIVYOSEPA NA BILIONI 11 VYAKALIWA KOONI MANISPAA YA KINONDONI. REJESHENI...
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • TAARIFA KWA UMMA
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.