Tarehe iliyowekwa: March 12th, 2022
Manispaa ya Kinondoni kwa kushirikia na Ofisi ya Kamishana wa Ardhi Mkoa wa Dar es Salaam leo wametoa hati za kidijitali takribani 300 kwa wananchi wa Kata ya Wazo na Mitaa yake.
Akitoa hati hizo k...
Tarehe iliyowekwa: February 23rd, 2022
Manispaa ya Kinondoni imeandaa mafunzo ya siku moja kwa Watendaji wa Kata na Mitaa yenye lengo la kuwawezesha kutekeleza jukumu la msingi la utambuzi wa maeneo pamoja na barabara ili zoezi la anwani z...
Tarehe iliyowekwa: February 21st, 2022
Akizindua zoezi hilo kwa majimbo yake mawili ya uchaguzi, Mkuu wa Wilaya ya hiyo Mhe. Godwin Gondwe amesema uzinduzi huu ni katika kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia...