Tarehe iliyowekwa: April 24th, 2024
Kuelekea Maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Kata ya Tandale imefanya usafi katika barabara ya Mtaa wa Tandale kwa Tumbo mpaka sokoni, ikiwa ni njia ya kuuenzi Muungano.
...
Tarehe iliyowekwa: April 25th, 2024
Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, Bi. Hanifa Suleiman Hamza, Katibu Tawala wa Wilaya ya Kinondoni, Bi. Stella Msofe, pamoja na baadhi ya watumishi wa Manispaa ya Kinondoni wakiwa kwenye maandalizi ...
Tarehe iliyowekwa: April 23rd, 2024
Katika kuelekea Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Manispaa ya Kinondoni wahamasisha utunzaji wa mazingira kwa kupanda miti 500 katika Kata ya Makongo Juu.
Akiongea kati...