• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

Maendeleo ya Jamii

IDARA YA MAENDELEO YA JAMII

Idara ya Maendeleo ya jamii inajumuisha vitengo viwilii ambavyo ni Maendeleo ya Jamii na Vijana.

MAJUKUMU YA IDARA YA MAENDELEO YA JAMII.

  • Kuhakikisha kunakuwepo na ushiriki wa kutosha wa wadau wote wa Maendeleo katika kutekeleza program mbalimbali za Maendeleo ya Jamii.
  • Kuamsha ari ya Jamii kushiriki katika kupanga, kuamua, kutekeleza na kuchangia maendeleo yao kwa kutumia fursa na rasilimali zilizopo.
  • Kuhakikisha kunakuwepo  ushirikishwaji wa kutosha wa wananchi katika program mbalimbali za Kitaifa zenye msukumo wa Maendeleo.
  • Kuwezesha makundi mbalimbali katika jamii kama watoto, vijana, na wanawake kupata fursa ya kutoa mawazo yao katika kujadili changamoto za maendeleo zinazogusa mahitaji ya makundi yao na jamii kwa ujumla.
  • Kuwezesha jamii kujiajiri kwa kuunda vikundi vya kiuchumi ili kuweza kukuza mitaji, kuweka akiba, kuinua kipato cha familia na hatimae jamii kujijengea uwezo wa kuchangia katika shughuli za maendeleo.
  • Kuelimisha jamii kulinda na kuendeleza mila na desturi zenye kujenga maadili bora ya jamii ili hatimae jamii iweze kutambua na kuachana na mila na desturi potofu.
  • Ukusanyaji Muhimu wa Takwimu za jamii.
  • Kusimamia na kuratibu shughuli za maendeleo zinazotekelezwa na mashirika yasiyo ya Kiserikali.(NGO’s).
  • Kuwezesha Mchakato wa usajili wa Mashirikia yasiyo ya Kiserikali kwa kukagua na kutoa maelekezo yanayokidhi zifa za usajili.

HIV/AIDS PROGRAMME

  • Mafunzo ya VICOBA kwa watu wanaoishi na virus vya UKIMWI(WAVIU)
  • Kuhakikisha tathmini ya hali halisi ya VVU na UKIMWI katika Halmashauri inafanyika na kuweka mikakati ya Kila mwaka.
  • Kuhamasisha kuunda
  • Kutoa taarifa za shughuli za VVU na UKIMWI kwenye kikao cha Baraza la Madiwani(Full Council)/
  • Kupitiaa taarifa za uratibu zinazofanywa na Kata na Mitaa ili kutoa ushauri wa namna ya kuimarisha na kuongeza ufanisi.
  • Kuratibu, kufuatilia na kutathmini utekelezaji wa shughuli za VVU na UKIMWI zilizopangwa.
  • Kutambua na kutathmini shughuli za wadau mbalimbali wanaotekeleza afua za VVU, na UKIMWI katika Halmashauri. Vikundi vya WAVIUna wajane.
  • Kuhakikisha mipango yote ya UKIMWI na wadau wanaotekeleza  Katika Halmashauri inaingizwa kwenye Mpango Mkakati wa UKIMWI wa Halmashauri na Mkoa ili kuondoa urudufu wa juhudi na rasilimali.
  • Kuhakikisha sera, Mkakati wa Taifa wa kudhibiti UKIMWI, sheria, Miongozo na matokeo ya tafiti mbalimbali ya masuala ya UKIMWI yanawafikia wadau na wananchi kwa ujumla.
  • Kutoa ushauri kwa ngazi inayohusika kuhusu Sera au sheria ndogo juu ya udhibiti wa VVU na UKIMWI.
  • Kuhakikisha uwepo wa orodha ya wadau hai wa Masuala ya UKIMWI.

JUMLA YA MIRADI ILIYOTEKELEZWA NA TASAF II KUANZIA 2005-2010.

NA
AINA YA MIRADI
IDADI
WATOA FEDHA
1
HUDUMA ZA JAMII(SP)
55
TASAF
2
UZALISHAJI MALI KWA MAKUNDI MAALUM(VG)
24
TASAF
3
KUJENGA UWEZO WA JAMII KUWA NA TABIA YA KUWEKA AKIBA NA KUWEKEZA(COMSIP)
20

4
MFUKO WA VIJIJI VYA PWANI(CVF)
38
MACEMP
5
MWITIKIO WA  JAMII DHIDI YA UKIMWI(MJADU)
18
TACAIDS.

Jedwali hili huonesha fedha zilizopokelewa kutoka TASAF Makao  Makuu kwa kwa ajili ya kunusuru Kaya Maskini kwa kipindi cha Julai 2015 hadi Februari 2017.                                                                                       

FEDHA ZILIZOPELEKWA TOKA TASAF MAKAO MAKUU

(Kunusuru Kaya Maskini)KIPINDI CHA JULAI 2015-FEBRUARI 2017

S/N
IDADI YA WALENGWA
KIASI CHA FEDHA KILICHOPOKELEWA
AWAMU
1
8971
426,357,000.00
July –August 2015
2
8971
432,409,131.00
September-October      2015
3
8971
490,131,000.00
November-December 2015
4
8970
427,207,500.00
January-February 2016
5
8970
427,198,500.00
March-April 2016
6
8625
425,214,000.00
Mei-June 2016
7
8500
398,272,722.27
July-August 2016
8
7011
318,843,000.00
September-October 2016
9
7011
326,632,500.00
November-December 2016
10
6731
270,072,000.00
January-February 2017

DAWATI LA MAAFA

  • Kuratibu shughuli za Maafa ngazi ya Manispaa na kushauri hatua za kuzuia,kujiandaa,kukabili na kurudisha hali.
  • Kutambua maafa yanayoathiri Manispaa.
  • Kushiriki katika Tafiti mbalimbali zinazohusu maswala ya Maafa,zikiwemo tathmini za  hali ya chakula katika Manispaa na wadau wengine.
  • Kutoa elimu kwa Umma juu ya masuala ya Afya.
  • Kuwa kiungo (bridge) kati Mkoa na Mamlaka nyingine kuhusu masuala ya Maafa.
  • Kushiriki vikao vya Kamati ya Maafa vya Manispaa.
  • Kuwasilisha taarifa za Maafa kwa Mamlaka nyingine (OWMN, TAMISEMI,SEKTA  n.k)

MRATIBU WA VIKUNDI VYA UCHUMI VYA WANAWAKE NA VIJANA.

  • Kupunguza umaskini ka ti ya vijana na wanawake wanaoishi katika mazingira hayo.
  • Kukuza vikundi vya ujasiriamali
  • Kuumba ajira kwa wanawake na vijana
  • Kutoa mikopo nafuu kwa wanawake na vijana.

WANAWAKE NA VIJANA

  • Kuwawezesha wanawake na vijana kupata mikopo kupitia mfuka wa wanawake na vijana.
  • Kuweza kutenga Fedha kwa ajili ya mfuko wa wanawake na vijana jumla ya Tsh 4,516,351,148 zimetengwa na kunufaisha wanawake na vijana.
  • Kuwezesha watu 11,613 kujiajiri ambapi wanawake ni 8,757 na vijana ni 1,270 walemavu 326, na watu wengine binafsi ni 1,250. Waliweza kupata mikopo ya Masharti.
  • Kuwezesha vikundi 16 vya akina mama wajasiriamali kushiriki maonesho ya Kimataifa yanayofanyika kila mwaka katika nchi za Africa.

HUDUMA   ZITOLEWAZO NA IDARA YA MAENDELEO YA JAMII NA VIJANA.

 JINSI ZINAVYOPATIKANA.

  • Cheti za Utambuzi wa Vikundi.
  • Taratibu za usajili wa NGO’S na utambulisho wa NGO’S.
  • Vipengele Muhimu katika uandaaji wa Katiba
  • Kupokea wanafunzi wa Field (Mafunzo kwa vitendo)
  • Fomu mbalimbali anazopewa Mwananchi kujaza anapotaka huduma.
  • Usajili wa vikundi.

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.