• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

Kawe

HISTORIA FUPI:

Mji wa Kawe ulianza tangu miaka ya 1908. Kipindi hicho mji ulikuwa hapo lilipo eneo la Makaburi ya Mzimuni (Mwai Kibaki road). Asili ya jina la Kawe lilitokana na mwanamke mmoja aliyeishi maeneo hayo aliyeitwa  Bi. Mwakawi. Bi. Mwakawi alipokufa alizikwa katika makaburi ya Mzimuni ambapo mbuyu mkubwa ulioota juu ya kaburi lake hivyo kufanya watu wengi kupatumia kama eneo la matambiko, na inadaiwa kuwa waombaji walikuwa wakijibiwa maombi yao. Ikumbuke kwamba eneo hilo pia kulikuwa na Msikiti ambao ulizama ukiwa na waumini ndani yake.

Kufikia miaka ya 1960 baada ya kuanzishwa kwa kiwanda cha Tanganyika Packers palikuwa na njia ya kuleta ng'ombe kiwandani yaani (COW ways), wazungu waliita "cow ways"  wakimaanisha njia ya ng'ombe, wazawa wakashindwa kutamka neno hilo na badala yake kutamka KAWE.

Vitongoji vilivyokuwa vinapakana na Kawe kwa kipindi hicho ni pamoja na Kwa Mussa Hassan ambako ni Msasani, Maiko Chain ambako sasa ni Mikocheni. Umbwelani ambako sasa ni pahala ilipo hosteli ya JWTZ, pia kwa Wakwama ambako sasa ni Ukwamani na upande wa Kaskazini walipakana na mashamba ya mkonge ya Asamali ambako sasa ni Mbezi Beach.


 JIOGRAFIA YA KATA

Kawe ni Miongoni ya kata ishirini (20) zinazopatikana katika Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni mkoa wa Dar es salaam yenye Postikodi namba 14121 pia kata hii imepakana na kata jirani kata hizo ni Mikocheni, Msasani, Makongo juu, Mbezi juu na Kunduchi.

 IDADI YA WAKAZI KATA

 Katika sensa ya Mwaka 2022 Wakazi Waliohesabiwa ni 67,675 kati ya hao Wanaume ni 32,154 na Wanawake ni 35,521.

 IDADI YA MITAA KATA

 Kata ya kawe inayo Mitaa minne (4) kama ifuatavyo:-

1. Mtaa wa Mzimuni

 2. Mtaa wa Mbezi Beach A.

 3. Mtaa wa Mbezi Beach B.

 4. Mtaa wa Ukwamani.

 UKUBWA WA KATA (KM ZA MRABA) Kata ya Kawe ina ukubwa wa kilometa za mraba (km ) Kumi na Tano (15).

HALI YA ELIMU KATA YA KAWE.

 Hali ya Elimu katika kata ni ya Kuridhisha hasa Elimu ya AwalI Msingi na Sekondari. Zote zinayo Miundo Mbinu Muhimu inayohitajika kama vile Umeme, Maji na Mazingira tulivu. Orodha ya Shule ni kama ifuatavyo:

SHULE ZA AWALI BINAFSI

S/N
SHULE
WANAFUNZI


WALIMU




WAV
WAS
JML
ME
KE
JML
01
CLARA
40
24
64
00
08
08
02
YOHANNE M
09
13
22
00
04
04

SHULE ZA MSINGI SERIKALI.

S/N
SHULE

WANAFUNZI
WALIMU


WAV
WAS
JML
ME
KE
JML

01
KAWE
624
558
1182
8
22
30

02
KAWE B
394
406
800
2
15
17

03
LUGALO
604
805
1409
1
19
20

04
MBEZI BEACH
300
320
620
2
13
15

05
MIRAMBO
762
676
1438
2
24
26

06
TUMAINI
383
410
793
3
14
17

07
UKWAMANI
316
319
635
3
12
15

08
ALLY H MWINYI
250
280
530
5
15
20











SHULE ZA MSINGI BINAFSI.

S/N
SHULE
WANAFUNZI
WALIMU


WAV
WAS
JML
ME
KE
JML
01
BAJEVIRO
234
295
529
9
6
15
02
JERUSALEM
78
82
160
5
10
15
03
LIBERMAN N
600
502
1102
7
31
38
04
LIBERMAN V
24
26
50
4
9
13
05
MWL. JK NYERERE
102
104
206
9
5
14
06
RIGHTWAY
371
366
737
15
18
33
07
ST.ALOYSIUS
00
232
232
7
6
13
08
FEZA
539
569
1108
28
58
86

SHULE ZA SEKONDARI SERIKALI.

S/N
SHULE
WANAFUNZI
WALIMU


WAV
WAS
JML
ME
KE
JML
01
D. CHONGOLO
310
314
624
05
10
15
02
K. UKWAMANI
933
879
1812
29
10
39

SHULE ZA SEKONDARI BINAFSI.

S/N
SHULE
WANAFUNZI
WALIMU


WAV
WAS
JML
ME
KE
JML
01
CROWN
99
77
176
16
6
22
O2
FEZA
OO
456
456
17
25
42
03
QIBLATAIN
179
OO
179
8
00
8

HALI YA AFYA KATIKA KATA

Hali ya Afya katika kata ya Kawe ni ya kuridhisha kwani ina Hospitali, Vituo vya Afya na Zahanati za serikali na binafsi.

HOSPITALI ZA SERIKALI KATIKA KATA

1. Hospitali ya Jeshi ya Lugalo.

 HOSPITALI ZA BINAFSI KATIKA KATA YA KAWE

 1. Hospitali ya IMTU

2. MDM Mult specialized Hospital.

 VITUO VYA AFYA VYA SERIKALI KATA YA KAWE

  • Kituo cha Afya Kata ya Kawe, Kituo hiKi kina jumla ya wauguzi Kumi na Tano (15) kati ya hao wanaume ni watano (5) na wanawake kumi (10).
  •  ZAHANATI ZA SERIKALI ZILIZOPO KATA YA KAWE
  •  1 Zahanati ya JKT
  •  
  •  ZAHANATI ZA BINAFSI ZILIZOPO KATA YA KAWE
  •  1. Antonio Verna
  •  2. St. Brendani
  •  3. St. Ndahani
  •  4. Kasambo Polyclinic
  •  5. Jeryatrice Health Education.Zahanati hii ina jumla ya wauguzi wanne (4) kati ya hao me-1 na ke-3 6. Smile Dental Care 7. St. Lawrence diabetic clinic.
  •  HALI YA MIUNDOMBINU KATIKA KATA
  •  Kata ya Kawe imepitiwa na barabara kuu tatu (5) ambazo ni
  •  1 Barabara ya Bagamoyo
  • 2. Barabara ya Kawe
  •  3. Barabara ya Mwai kibaki
  •  4. Barabara ya whitesand
  • 5. Barabara ya Ally Sykes
  • Kata ya kawe ina barabara za lami sita (6) ambazo ni,
  • 1. Barabara ya Bagamoyo –km 3
  • 2. Barabara ya Kawe-m 900
  • 2. Barabara ya Kawe-m 900
  • 3. Barabara ya Mwai kibaki-km 2
  • 4. Barabara ya whitesand-m 800
  • 5. Barabara ya Ally Sykes-m 700
  • 6. Barabara ya Jk-m 400
  • Kata ya kawe ina jumla ya barabara za mitaa 414
  •   VIVUTIO VYA UTALII VILIVYOPO KATIKA KATA

 Kivutio kikuu kilichopo katika Kata ya Kawe ni Bahari

 MIRADI YA MAENDELEO ILIYOPO KATIKA KATA

 MIRADI YA MAENDELEO INAYOENDELEA

 1. Mradi wa Kituo cha Afya Kawe 

 2. Mradi wa kutandika mabomba ya maji taka CEBG 

3. Mradi wa barabara ya sokoni kwa kiwango cha lami 

1. Madarasa shule ya sekondari Kawe Ukwamani. 

2. Ujenzi wa shule ya sekondari Daniel Chongolo 

3. Ujenzi wa madarasa Saba (7) shule ya msingi Tumaini

4. Ujenzi wa choo shule ya msingi Ukwamani 

5. Ukarabati wa choo soko la Kawe

6. Ukarabati wa Machinjio Soko la Kawe

7. Ukarabati wa madarasa kumi na Nne (14) shule ya msingi Mirambo 

 BIASHARA NA UWEKEZAJI KATIKA KATA

 Kata ya kawe ina soko kuu moja, stendi moja na viwanda vidogovidogo 21.

 HALI YA ULINZI NA USALAMA KATIKA KATA

Kata ya kawe ina kituo cha polisi kimoja ambacho kinashirikiana na vikundi vya ulinzi shirikishi vilivyopo katika kila mtaa.

 IDADI YA MAAFISA NGAZI YA KATA 

Kata ya Kawe Ina jumla ya Maafisa sita (6).

HALI YA MIUNDOMBINU YA BARABARA NA MIFEREJI:

Kata ya Kawe ina barabara 4 za kiwango cha lami ambazo ni Mwai Kibaki, Old Bagamoyo, Whitesands  na barabara ya JK.

  1. Barabara ya Mwai Kibaki kuanzia daraja la Mlalakuwa hadi Africana makutano ya barabara ya Bagamoyo.
  2. Barabara ya Kawe inayoanzia round-about ya Kawe hadi njia panda ya Kawe makutano ya barabara ya Bagamoyo.

Barabara hizi zina mifereji inayotunzwa na Manispaa ya Kinondoni pamoja na TANROADS. Kadhalika Kata ya Kawe inazo barabara za vumbi za  Mitaa ambazo zipo chini ya Manispaa.


HALI YA USAFI WA MAZINGIRA KATIKA KATA:

Hali ya usafi wa mazingira katika Kata ya Kawe kwenye makazi ya watu, taasisi binafsi na za serikali inaridhisha. Mitaa yote inayo Wakandarasi wa ukusanyaji na uzoaji wa taka ngumu na malipo ya ushuru wa takataka ni kwa kutumia vifaa vya kielektroniki.


HALI YA MAHUSIANO YAWADAU MBALIMBALI:

Mahusiano na ushirikiano katika Kata kati ya Mamlaka ya Serikali na wakazi ni mazuri, hali ambayo inarahisisha shughuli za kiserikali kama vile usafi wa wiki, katika Kata na mambo mengine.


HALI YA MAENDELEO YA WATU NA MAKAZI:

Kata ya Kawe yapo maeneo ambayo ni makazi holela kwa mtaa wa Mzimuni na Ukwamani. Pia yapo  baadhi ya maeneo ni ya kupimwa ambayo ni ya mtaa wa Mbezi Beach A na Mbezi Beach B na yapo maeneo ambayo hayajapimwa.

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.