Tarehe iliyowekwa: December 9th, 2020
Baraza jipya la Madiwani lililoapishwa tarehe 07/12/2020 katika ukumbi wa mikutano wa Manispaa limeendelea kupata semina ihusuyo uelewa wa uendeshaji wa Serikali za Mitaa.
Afisa Utumishi Mkuu B...
Tarehe iliyowekwa: December 7th, 2020
Baraza hilo chini ya Mstahiki Meya wake Mhe.Songoro Mnyonge limeanza kazi kwa kupitisha taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Halmashauri katika kipindi cha kuanzia Julai hadi Octoba 2020.
Akitoa h...
Tarehe iliyowekwa: December 3rd, 2020
Kinondoni kwa kushirikiana na shirika la Engender Health Imeadhimisha siku ya watu wenye ulemavu duniani yenye kauli mbiu isemayo "Si kila ulemavu unaonekana", kwa kutoa huduma za afya ya ...