Tarehe iliyowekwa: January 31st, 2023
Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni imetoa mkopo zaidi ya shilingi bilioni 2.5 kwa vikundi 115 vya wajasiriamali ili kuwawezesha wananchi wake kujikwamua kiuchumi na kuboresha maisha yao.
Mkopo hu...
Tarehe iliyowekwa: January 28th, 2023
Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni imetoa rai kwa wafanyabiashara ndani ya Manispaa hiyo kurudi kwenye maeneo yaliyopangwa na yanayotambulika na Manispaa hiyo kibiashara.
Rai hiyo imetolewa leo t...
Tarehe iliyowekwa: January 14th, 2023
Afisa Elimu Msingi wa Manispaa ya Kinondoni, Bi.Theresia Kyara, leo ametiliana saini mikataba ya utendaji kazi na Maafisa Elimu Kata, Walimu Wakuu na Watumishi wa Idara ya Elimu Msingi.
Utiaji ...