• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

Kijitonyama

HISTORIA FUPI:

Kata ya Kijitonyama ni miongoni mwa kata 20 zinazopatikana katika wilaya ya Kinondoni pia ilianzishwa rasmi mwaka 2000 ilimegwa sehemu kutoka kata ya Tandale na asili ya jina lake ni mto ambao ulikua unatumika kuoshea wanyama baada ya kuchinjwa na ulikua unazungukwa na wanyama mbalimbali hivyo ulipewa jina la KIJITO CHA WANYAMA na hatimae jina la KIJITONYAMA likazaliwa kutoka katika jina la mto.

Kata ya Kijitonyama imepakana na kata tano ambazo ni Mikocheni, Makumbusho, Makango na Tandale pamoja na Kata ya Sinza inayopatikana wilaya ya Ubungo.

Idadi ya watu.

Kata ya Kijitonyama ina jumla ya watu 39,932 kwa mjibu wa sensa ya watu na makazi ya Mwaka 2022, ambapo katika jumla hiyo Wanawake ni 20914 na Wanaume ni 19018.

Mitaa katika Kata ya Kijitonyama 

 Kata ya Kijitonyama ina jumla ya mitaa nane (8)  ambayo ni Alimaaua A,  Alimaua B, Mpakani A, Mpakanai B, Nzasa, Mwenge, Bwawani, na Kijitonyama.

Hali ya Elimu katika Kata

Kata ya Kijitonyama ina jumla ya Shule Nane (8) kati ya hizo Shule Sita (6) ni za Awali/Msingi na Mbili (2) za Sekondari pia Shule zote Nane zinamilikiwa na Serikali.

Shule za Awali/Msingi

S/m Shekilango
Idadi ya Wanafunzi
Idadi ya Walimu
Me
236
Ke
203
Me
0
Ke
9
S/m Mapambano
Idadi ya Wanafunzi
Idadi ya Walimu
Me
424
Ke
401
Me
1
Ke
11
S/m Mwenge
Idadi ya Wanafunzi
Idadi ya Walimu
Me
213
Ke
222
Me
4
Ke
10
S/m Mwangaza
Idadi ya Wanafunzi
Idadi ya Walimu
Me
321
Ke
447
Me
4
Ke
10
S/m Kijitonyama Kisiwani
Idadi ya Wanafunzi
Idadi ya Walimu
Me
600
Ke
548
Me
03
Ke
16
S/m Sinza Maalum
Idadi ya Wanafunzi
Idadi ya Walimu
Me
49
Ke
44
Me
1
Ke
2

Shule za Sekondari

Kijitonyama Sayansi
Idadi ya Wanafunzi
Idadi ya Walimu
Me
543
Ke
613
Me
06
Ke
16
Salma Kikwete
Idadi ya Wanafunzi
Idadi ya Walimu
Me
577
Ke
613
Me
06
Ke
23

 

Hali ya Afya katika Kata

Kata ya Kijitonyama ina Zahanati 12 ambapo kati ya hizo 3 ni za Serikali, hakuna kituo cha Afya chochote isipokuwa kuna Hospitali Mbili zote za Sekta Binafsi.

Zahanati za Serikali

-Zahanati ya Ali Maua iliyopo Mtaa wa Ali Maua

-Zahanati ya Kijitonyama iliyopo Mtaa wa Mpakani

-Zahanati ya Mwenge iliyopo Mtaa wa Mwenge

Zahanati za Sekta Binafsi

-zahanati ya Afro-China Safe iliyopo Mpakani A

-Zahanati ya Century Oral arts iliyopo Mwenge

-Zahanati ya St.Benedict Dental Clinic iliyopo Kijitonyama

-Zahanati ya MJ iliyopo Mtaa wa Ali Maua

-Zahanati ya Azec Polyclinic ilkiyopo Mtaa wa Mpakani B

-Zahanati ya St. Clara iliyopo Mtaa wa Bwawani

-Zahanati ya Royal Green Groser iliyopo Mpakani A

Hospitali za Sekta Binafsi

-Hospitali ya Mama Ngoma iliyopo Nzasa

-Hospitali ya Maria Stopes iliyopo Mwenge

Miradi ya Maendeleo

 Kata ya Kijitonyama imeendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo katika sekta ya Elimu Msingi, Elimu Sekondari, Afya, Kilimo, Uvuvi, Biashara na Viwanda, michezo na Miundombinu mfano Ukarabati wa vyoo vya Sinza II (Africasana) na Makumbusho stand, Ujenzi wa Kituo cha Afya Kijitonyama na Ujenzi wa jingo la Radiologia Zahanati ya Kijitonyama (Kifuma). 

Ujenzi wa Kituo cha Mabasi Mwenge (umekamilika) 

Ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Timu ya Kmc fc ambao upo hatua za mwisho za umalizikaji 

MIRADI YA MAENDELEO ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA KIJITONYAMA KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2034

JINA LA MRADI
 
FEDHA ZILIZOTENGWA 2023/2024
JUMLA

MAPATO YA NDANI

SEREKALI KUU

Ujenzi wa jingo la martenity cum theatre , IPD kituo cha afya Ali Maua  MRADI UMEKAMILIKA
500,000,000.00
0
500,000,000.00
Ujenzi na Umaliziaji wa vyumba 6 vya madarasa (ghorofa) shule ya secondary Kijitonyama unaendelea
200,000,000.00
0.00
200,000,000.00
Ununuzi wa Vifaa Tiba katika Vituo Vya Afya Ali Maua
0.00
100,000,000.00
100,000,000.00
Kukamilisha Ukarabati Wa Vyumba 10 Vya Madarasa katika Shule Ya Msingi Mwenge unaendelea
25,262,750.00
0.00
25,262,750.00
Kukarabati Shule Ya Wanafunzi wenye Mahitaji Maalum – Sinza Maalumu-bado haujaanza
9,000,000.00
0.00
9,000,000.00
Umaliziaji Wa Vyumba 2 Vya Madarasa na Ofisi Ya Waaalimu Shule ya Sekondari Salma Kikwete unaendelea
10,021,512.00
0.00
10,021,512.00
Umaliziaji Wa Ujenzi Wa Maabara 3 Katika Shule Ya Sekondari Kijitonyama Unaendelea
18,000,000.00
0.00
18,000,000.00
Kumalizia Ujenzi wa Stendi ya Mwenge ifikapo Juni, 2024 imekamilika picha
5,818,241,280.00
0.00
5,818,241,280.00
Kumalizia Ujenzi wa Stendi ya Mwenge ifikapo Juni, 2024 imekamilika picha
5,818,241,280.00
0.00
5,818,241,280.00
Kumalizia Uwanja wa Mpira Mwenge ifikapo Juni, 2024 ujenzi unaendelea picha
2,685,715,759.00
0.00
2,685,715,759.00
               JUMLA
9,266,241,301.00
100,000,000.00
9,366,241,301.00



Hali ya Ulinzi na Usalama.

Kata ya Kijitonyama ina vituo vinne vya Polisi, ambavyo ni Kituo cha Polisi Kijitonyama (Mabatini) pamoja na vituo vidogo vya Polisi vya Mwenge, Alimaua A na Alimaua B. Pamoja na uwepo wa vituo hivyo vya Polisi lakini kila Mtaa wa Kata ya Kijitonyama una kikundi cha Ulinzi Shirikishi (sungusungu) ambavyo vinasaidia ulinzi ngazi ya Mtaa.

Biashara na Uwekezaji

Kata ya Kijitonyama ina masoko matatu rasmi ya Serikali ambayo ni Sinza 11 (Afrika Sana), Makumbusho na Mwenge ambayo yamesaidia sana kukuza ajira binafsi kwa wakazi wa Kijitonyama.

Pia ndani ya kata kuna taasisi nyingine mbalimbali binafsi zikiwemo taasisi za Fedha, Vyuo vikuu, kumbi mbalimbali za mikutano na Burudani, Makampuni Binafsi, Hotel, Bar, Guesthouses na Vituo vya Mafuta.

Idadi ya Maafisa ngazi ya  Kata

Kata ya Kijitonyoma ina jumla ya Maafisa Ugani 17, wakiwa katika mchanganuo ufuatao;

Mtendaji Kata -01

Watendaji Mitaa 08

Afisa Maendeleo ya Jamii-01

Mratibu Elimu Kata -01

Afisa Ustawi wa Jamii Kata-01

Afisa Mifugo-01

Afisa Kilimo-01

Afisa Afya Kata-02

Polisi Kata -01

Maendeleo ya Jamii

Kata ya Kijitonyama ni moja ya Kata ambayo ina wanufaika wengi wa mikopo isiyokuwa na riba inayotolewa na Serikali ambayo imegawanywa kwa awamu tofauti tofauti kama ifuatavyo;

Mwaka 2018-2019 kulikuwa na vikundi 108 na walipewa mkopo wa Tsh Mil 249/=

Mwaka 2019-2020 kulikuwa na vikundi 52 na walipewa mkopo wa Tsh 101,500,000/=

Mwaka 2020-2021 kulikuwa na vikundi 21na walipewa mkopo wa Tsh Mil 150350000/=

Vivutio vya Utalii

Kata ya Kijitonyama haina kivutio chochote cha utalii.

Hali ya Usafi katika Kata na Mitaa kwa Ujumla

Hali ya Usafi katika Kata ya Kijitonyama na Mitaa kwa ujumla ni nzuri sana kwani ushirikiano ambao Wananchi wanaupata kutoka katika kampuni iliyopewa tenda ya kuhakikisha takataka zinaondolewa ya GUSAE unaridhisha na unatija kwa msitakabali usafi wa mazingira katika Kata.

Ushirirkiano na Wadau wa Maendeleo

Kata ya Kijitonyama ina ushirikiano mzuri na wadau mbalimbali wa Maendeleo ambao wamekuwa wakitoa msaada wanapohitajika ili kuhakikisha shughuli za kimaendeleo katika hazikwami, mfano Mwaka jana Kampuni ya Halotel ilishiriki katika zoezi la usafi kwa kutoa vitendea kazi vya usafi 23/12/2023 na zoezi la usafi lilifanyika katika hali ya ufanisi mkubwa.


MAHUSIANO NA WADAU MBALIMBALI:

Wakazi wa Kijitonyama kwa ujumla wao wamekuwa wakitoa ushirikiano mkubwa katika kuchangia shughuli mbalimbali za maendeleo.


HALI YA MAENDELEO YA WATU NA MAKAZI:

Hali ya maendeleo ya watu na makazi ni nzuri, na hii imechangiwa na kuwepo na makampuni pamoja na taasisi, hali iliyoongeza mwingiliano wa watu na biashara kukua zaidi.

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.