• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fukwe na Visiwa
    • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Matukio ya Utalii
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Iliyopangwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Habari
    • Matukio

Kijitonyama

HISTORIA FUPI:

Kata ya Kijitonyama ilianza mwaka 2000, na asili ya jina lake ni mto ambao ulikua ukitumika kuoshea nyama baada ya kuchinjwa na mto huo ulikua umezungukwa na wanyama mbalimbali na hapo ndipo lilipotokea jina la KIJITO CHA WANYAMA na hatimae KIJITONYAMA.


IDADI YA MITAA:

Kata ina jumla ya mitaa nane (08) kama ifuatavyo:-

1.    Mtaa wa Mpakani A

2.    Mtaa wa Mpakani B

3.    Mtaa wa Alimaua A

4.    Mtaa wa Alimaua B

5.    Mtaa wa Kijitonyama

6.    Mtaa wa Mwenge

7.    Mtaa wa Nzasa

8.    Mtaa wa Bwawani


HALI YA ELIMU KATIKA KATA:

Kata ina jumla ya shule tano za msingi na moja ya sekondari ambazo zote ni za Serikali, na kiwango cha ufaulu wa wanafunzi katika shule zote hizo ni cha kuridhisha. Orodha ya shule hizo ni kama ifuatavyo: 

  1. Shule ya msingi Mwenge
  2. Shule ya msingi Mapambano
  3. Shule ya msingi Shekilango
  4. Shule ya msingi Kijitonyama Kisiwani
  5. Shule ya msingi Mwangaza


SHULE ZA SEKONDARI:

Kata ya Kijitonyama inazo shule za mbili (2) za sekondari za serikali na mbili (2) za binafsi kama ifuatavyo: -  

  1. Shule ya sekondari Salma Kikwete - Serikali
  2. Shule ya sekondari Kijitonyama Sayansi - Serikali
  3. Shule ya sekondari Masjid Quba - Binafsi
  4. Shule ya sekondari Zuhura Islamic - Binafsi


VYUO VYA ELIMU YA JUU NA KATI:

Kata ya Kijitonyana ina chuo kimoja cha elimu ya juu cha Serikli (Chuo cha Ustawi wa Jamii) na chuo kimoja cha elimu ya kati cha binafsi (Kilimanjaro Institue of Technology)


HALI YA AFYA:

Kata ina jumla ya Zahanati mbili za Serikali ambazo hutoa huduma kwa wakazi wa Mitaa yote nane. Kwa ujumla hali ya afya hasa upatikanaji wa huduma za afya ni mzuri, kwani pamoja na vituo hivyo viwili bado Kata iko jirani kabisa na Hospitali ya Sinza Palestina pamoja na Hospitali ya Mwananyamala ambapo wananchi wanaweza kuonana na madaktari bingwa na kupatiwa huduma wanayostahili.


MIUNDOMBINU  YA  BARABARA NA MIFEREJI:

80% ya barabara za Kata ya Kijitonyama ni za vumbi.


HALI YA  USAFI WA MAZINGIRA:

Kata inao utaratibu mzuri wa kudhibiti taka ngumu zinazozalishwa majumbani pamoja na maeneo ya biashara, ambapo katika kila Mtaa kuna Mkandarasi anaezoa taka na kuzifikisha dampo.


MAHUSIANO NA WADAU MBALIMBALI:

Wakazi wa Kijitonyama kwa ujumla wao wamekuwa wakitoa ushirikiano mkubwa katika kuchangia shughuli mbalimbali za maendeleo.


HALI YA MAENDELEO YA WATU NA MAKAZI:

Hali ya maendeleo ya watu na makazi ni nzuri, na hii imechangiwa na kuwepo na makampuni pamoja na taasisi, hali iliyoongeza mwingiliano wa watu na biashara kukua zaidi.

Matangazo

  • KUFUTA TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI March 14, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA March 13, 2023
  • TANGAZO KWA WASIOLIPIA VIWANJA BOKO DOVYA (KWA SOMJI) NA SALASALA February 15, 2023
  • MABADILIKO YA SIKU YA MAFUNZO YA WASIMAMIZI WA MAUDHUI, WASIMAMIZI WA TEHAMA NA MAKARANI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 28, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • JAPAN YAIPATIA MSAADA MZIMUNI SEKONDARI

    March 15, 2023
  • VIKUNDI VYAASWA MATUMIZI SAHIHI YA MIKOPO

    February 18, 2023
  • "HAKUNA TIMU KUBWA ZAIDI YA KMC FC"

    February 18, 2023
  • ULINZI NI KIPAUMBELE KINODONI-DC SAAD

    February 12, 2023
  • Tazama zote

Picha Jongefu

VIKUNDI VILIVYOSEPA NA BILIONI 11 VYAKALIWA KOONI MANISPAA YA KINONDONI. REJESHENI...
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • TAARIFA KWA UMMA
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.