• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

Bunju

HISTORIA FUPI:

Kata ya Bunju ni miongoni mwa Kata kongwe ndani ya Manispaa ya Kinondoni. Jengo la ofisi ya Kata hii lilizinduliwa tarehe 29/06/2001 na kiongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa wa Mwaka huo ambaye ni Ndg. Fatma Juma Shomari.

Bunju imetokana na neno samaki anayeitwa jina la Bunju. Hapo awali wakazi wa eneo la Kata ya ya Bunju walikuwa wafugaji ambao walitekeleza shughuli zao za uvuvi katika bahari ya Hindi.

Eneo la kati la Kata ya Bunju lilikuwa na kijiji ambacho kulikuwa na vitongoji ambavyo mojawapo ni Mabwepande ambapo kwa sasa ni Bunju B. Lakini pia Mabwepande ilikuwa inasimamiwa na Kata ya Bunju na ilikuwa na Mitaa miwili ambayo ni Boko na Bunju A.

Kuna mchanganyiko wa makabila mbalimbali ndani ya Kata ya Bunju ikiwemo Wakwere, Wazaramo na Wandengereko.


JIOGRAFIA YA KATA

Magharibi- inapakana na Kata ya Kunduchi

Kusini-inapakana na Kata ya Mbezi Juu

Mashariki-inapakana na Kata ya Mbweni

Kaskazini-inapakana na Kata ya Mabwepande

IDADI YA MITAA

Kata ya Bunju ina jumla ya Mitaa (6) ambayo ni;

  • Mkoani
  • Bunju A
  • Kilungule
  • Dovya
  • Boko
  • Basihaya

Idadi ya wakazi- 92587

KE -48397

ME-44190

 

HALI YA ELIMU

 Jumla ya shule ni 32; Msingi 24 kati ya hizo Shule 7 ni za Serikali na 17 za Sekta Binafsi , ambapo Shule za Sekondari zipo 8 za Serikali 4 na Sekta Binafsi ni 4 katika mchanganuo ufuatao;

  • Shule za msingi (Serikali)
  •        JUMLA YA WANAFUNZI WOTE NI 10863

          JUMLA YA WANAFUNZI SHULE ZA MSINGI (SERIKALI) NI ME 5366 KE 5497 

    • Bunju A
    • Idadi ya Wanafunzi
    • Jumla
    • Me -808
    • Ke-898
    • 1706
    • Kheri Missinga
    • Me-670
    • Ke-672
    • 1342
    • Ally Hapi
    • Me-570
    • Ke-616
    • 1186
    • Boko
    • Me-995
    • Ke-975
    • 1706
    • Boko NHC
    • Me-410
    • Ke-413
    • 823
    • Mtambani
    • Me-1268
    • Ke-1288
    • 2556
    • Bunju Mkoani
    • Me-645
    • 5497
    • 1280

    • Shule za msingi (Binafsi)
      • Moga
      • Me-356
      • Ke-383
      • Jumla-739
      • Gosheni
      • Me-77
      • Ke-67
      • 144
      • New Hazina
      • Me-20
      • Ke-18
      • 38
      • Siya Modern
      • Me-82
      • Ke-85
      • 167
      • Faith
      • Me-17
      • Ke-13
      • 30
      • Marie Suvat
      • Me-83
      • Ke-88
      • 171
      • Day Star
      • Me-206
      • Ke-197
      • 403
      • Stamaria Salome
      • Me-53
      • Ke-50
      • 103
      • Locee
      • Me-80
      • Ke-90
      • 170
      • Lyceum
      • Me-22
      • Ke-34
      • 56
      • Turnish Maarif
      • Me-188
      • Ke-206
      • 394
      • Rev.Fr Jacques
      • Me-134
      • Ke-126
      • 260
      • Pendal
      • Me-46
      • Ke-50
      • 96
      • Pretige
      • Me-117
      • Ke-109
      • 226
      • Jubilation
      • Me-37
      • Ke-40
      • 77
      • Abel Memorial
      • Me-74
      • Ke-60
      • 134

      • 1592
      • 1616
      • 3208

      • Shule za sekondari (Serikali)
      •   JUMLA YA WANAFUNZI WOTE NI 4848

          JUMLA YA WANAFUNZI SEKONDARI (SERIKALI) NI ME 2354 KE 2495

        • Boko Mtambani
        • Me-711
        • Ke-473
        • Jumla-1376
        • Bunju A
        • Me-842
        • Ke-990
        • 1832
        • Boko
        • Me-443
        • Ke-473
        • 916
        • Michael Tarimo
        • Me-358
        • Ke-366
        • 724

        • Shule za sekondari (Binafsi
           
          • Destiny
          • Me-95
          • Ke-73
          • Jumla-
          • 168
          • Fanaka
          • Me-79
          • Ke-100
          • 179
          • Mianzini
          • Me-120
          • Ke-123
          • 243
          • St.Maria
          • Me-10
          • Ke-18
          • 28
          • Faith
          • Me-
          • Ke-76
          • 76
          • Turnish Maarif
          • Me-52
          • Ke-33
          • 85 


 

HALI YA AFYA KATIKA KATA

Kata ya Bunju Ina kituo cha afya cha serkali kimoja (1) pamoja na Zahanati mbili (2) za serikali na mbili (2) za binafsi.

  • Kituo cha Afya cha Serikali
  • Bunju
  • Zahanati za serikali (2)
  • Boko
  • Bunju

  • Zahanati za binafsi (8)
  • Tabson
  • St. Joseph
  • Sandary
  • Med Check
  • Aga Khan Clinic
  • Arafa Vigen
  • Burumawe Specialized Clinic Honest
  • Nyota Njema

HALI YA MIUNDOMBINU YA BARABARA

Kata ya Bunju ina barabara za lami nne (4) zenye km12.8 ambazo ni barabara ya Boko Chama kutokea Ununio kuelekea Kunduchi, barabara ya Mbweni kwenda Malindi, barabara ya Kilungule kwenda Mbweni.

MIRADI

Katika Kata ya Bunju kuna miradi ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa Kama ifuatavyo;

  • Ukamilishaji wa ujenzi wa madarasa 12 kwa mfumo wa ghorofa 
  • Ujenzi wa shule ya sekondari Boko Mtambani 
  • Ukamilishaji wa soko la Kilungule 
  • Ujenzi wa vyumba viwili na ofisi moja- Shule ya msingi Basihaya 
  • Ujenzi wa Kituo cha Polisi cha Usalama mtaa wa Mkoani kipo hatua ya Lenta 

 

BIASHARA NA UWEKEZAJI

Katika Kata ya Bunju, wanachi hujishughlisha na biashara ndogondogo (Ujasiriamali), kilimo mjini na ufugaji. Kata ya Bunju ina gulio 1, linalopatikana Mtaa wa Boko-Chama linalofanyika siku ya Jumanne ya kila wiki. Kata ya Bunju ina jumla ya viwanda 10.

NA
MTAA
JINA
VINACHAKATA
WATUMISHI
MMILIKI
1
Kilungule
KEREGE CO.LTD
CHAKULA CHA KUKU
25
KEREGE
2
Basihaya
QUALITY BEVEREGE LTD
BEVEREGE
15
PARTINA KANDI
3
Boko
PHOSPHORUS MANUFACTURING LTD
WHITE CEMENT
25
-
4
Boko
PRIENCE &PIERE INVESTMENT
SAUSAGE
14
UPENDO
5
Boko
MATEMBA PAINTS LTD
MIKANDA YA GYPSUM
10
MATEMBA
6
Boko
AGPIN
STEEL WIRE
8
SHICHANGZHOU

 

ULINZI NA USALAMA

Hali ya usalama katika Kata ya Bunju ni nzuri kutokana na kuwepo kwa vikundi vya ulinzi shirikishi. Vile vile kuna vituo viwili vya polisi ambavyo 

  • Kituo cha Polisi cha NHC.
  • Kituo cha polisi cha Usalama Mtaa wa Mkoani (hakijaanza kufanya kazi).

MAAFISA NGAZI YA KATA

Katika Kata ya Bunju kuna jumla ya maafisa ugani 21 ambao ni;

  • Maendeleo ya Jamii 1
  • Mtendaji Kata 1
  • Afisa Afya 2
  • Afisa Ustawi wa Jamii 2
  • Afisa Mifugo 1
  • Afia Kilimo 1
  • Afisa Biashara 2
  • Wahasibu Biashara 3
  • Watendaji wa Mitaa 6
  • Afisa Elimu 2

Maendeleo ya Jamii

Idadi ya vikundi vya wanufaika wa mikopo ya 10% katika Kata ya Bunju vimegawanywa kwa awamu tangu taratibu za utoaji wa mikopo isiyokuwa na riba kama ifuatavyo;

2018/2019 Vikundi 24

2018/2019 Vikundi 161

2019/2020 Vikundi 44

2020/2021 Vikundi 22

2021/2022 Vikundi 20

2022/2023 Vikundi 3

Tangu Mwaka 2017 zoezi la utoaji wa mikopo hiyo, Kata ya Bunju imekuwa na jumla ya Vikundi 294 na kiasi cha fedha kilichotolewa 2017-2023 ni Tsh 973,740,000/=


VYUO VYA ELIMU YA KATI VYA BINAFSI:

Kata ya Bunju inavyo vyuo viwili (02) vya elimu ya kati vya binafsi.


HALI YA MIUNDOMBINU YA BARABARA NA MIFEREJI:

Kata ya Bunju inazungukwa na barabara za lami nne ambazo ni Barabara ya Boko Chama kwenda Ununio na kutokea Kunduchi ambayo pia ina mifereji ya maji ya mvua, pia kuna barabara ya njia panda Mbweni kwenda Malindi Mbweni na ambayo pia ina mifereji na barabara nyingine kuanzia Kilungule kwenda Mbweni. Lakini pia Kata ya Bunju inapitiwa na barabara kubwa ya Bagamoyo kwa mitaa yote sita.


HALI YA USAFI NA MAZINGIRA:

Hali ya usafi wa Kata ya Bunju ni wa kuridhisha, kwani mitaa yote sita inayo Wakandarasi wanaozoa taka na kusafirisha kwenda dampo.


MAHUSIANO NA WADAU:

Katika Kata ya Bunju, mdau mkubwa wa maendeleo ni kiwanda cha saruji cha Wazo ambacho mara kadhaa kimekuwa kikisaidia maendeleo katika mitaa ya Basihaya na Boko hasa katika kusaidia vifusi vya barabara, vyandarua na mazingira. Wadau wengine wanaosaidia katika Kata ni pamoja na: BARRIEL SHELI,  ATN SHELI, APC, OILCOM SHELI, GUDAL SHELI, TOOTHPICK INDUSTRY LTD, DSN ENERGY (T) LTD (KIWANDA CHA MKAA), COLD BREWERIES  ARIES, PRODUCT AZURA  KIWANDA  CHA POMBE), KIWANDA CHA GYPSUM.


MIRADI YA KUJIVUNIA:

Kata ya Bunju inajivunia hasa katika miradi ya elimu kwani pamoja na kuwa na shule nne za msingi na shule mbili za Sekondari bado imeanzisha ujenzi mpya wa shule ya msingi katika mtaa wa Mkoani.


HALI YA MAENDELEO YA WATU NA MAKAZI:

Hali ya maendeleo ya watu na makazi inakua kwa kasi kwa kuwa watu wengi wamejenga nyumba za kisasa hasa katika eneo la mradi wa viwanja 2000 (Bunju Beach), na eneo la Boko beach ambako kuna miundombinu yote ya mipangomiji.

Pia katika maeneo yasiyopimwa ujenzi unafanyika kwa kasi.

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.