Tarehe iliyowekwa: July 21st, 2023
Zaidi wa Wageni 2,000 kutoka mataifa mbalimbali Afrika watahudhuria Mkutano wa Kimataifa kuanzia Julai 25 hadi 26, 2023.
Hayo yamesemwa leo na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mheshimiwa Saad Mtamb...
Tarehe iliyowekwa: July 21st, 2023
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni Bi. Hanifa Suleiman Hamza amewapongeza Maafisa Elimu Kata na Waalimu Wakuu wa shule zote za Msingi kutoka Manispaa ya Kinondoni kwa utekelezaji...
Tarehe iliyowekwa: July 16th, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe. Saad Mtambule amezindua rasmi zoezi la upimaji wa afya bure kwa wananchi wa Wilaya ya Kinondoni.
Zoezi hilo la upimaji wa afya bure limezinduliwa leo Julai 16, ...