Tarehe iliyowekwa: August 31st, 2022
Kamati ya Afya ya Msingi Manispaa ya Kinondoni imefanya kikao leo kujadili juu ya kampeni ya utoaji wa chanjo ya matone ya Polio awamu ya tatu kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano.
Kamati...
Tarehe iliyowekwa: August 25th, 2022
Wananchi wa mitaa ya Kisiwani, Mchangani na Sindano katika Kata ya Makumbusho, wameridhia kuachia baadhi ya maeneo katika makazi yao ili kupisha ujenzi wa barabara.
Mradi huo wa barabara ...
Tarehe iliyowekwa: August 24th, 2022
Katika kuongeza mikakati ya kuinua elimu, Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, inatarajia kuanza kufundisha wanafunzi kwa njia ya mtandao ili kuwawezesha kujifunza kwa wepesi zaidi.
Hayo yam...