Tarehe iliyowekwa: August 24th, 2022
Ubalozi wa Japan nchini, umeridhia kutoa msaada wa ujenzi wa matundu ya vyoo 34 katika shule ya Sekondari Mzimuni iliyopo Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Hayo yamebainika katika taarifa...
Tarehe iliyowekwa: August 23rd, 2022
Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, Bi. Hanifa Suleiman Hamza, akishiriki zoezi la Sensa kwa kuhesabiwa nyumbani kwake jijini Dar es Salaam.
Bi. Hanifa amekuwa ni miongoni mwa viongozi...
Tarehe iliyowekwa: August 23rd, 2022
Wakati zoezi la Sensa ya watu na makazi likiendelea katika siku yake ya kwanza, Viongozi wakuu wastaafu nchini wamewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kuhesabiwa.
Hayo yamesemwa kwa nyakati ...