Tarehe iliyowekwa: March 15th, 2024
Hafla ya kuadhimisha miaka mitatu ya Uongozi wa Awamu ya Sita chini ya Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, iliyoandaliwa na TAMISEMI katika Hotel ya Hyatt Regency Machi 15, 2024.
...
Tarehe iliyowekwa: March 13th, 2024
Wanawake wa Wilaya ya Kinondoni wameaswa kuthibitisha kauli mbiu ya siku ya Wanawake inayosema "Wekeza kwa Wanawake ili kuharakisha maendeleo na ustawi wa jamii" kwa vitendo.
Hayo yamesemwa n...
Tarehe iliyowekwa: March 11th, 2024
Wananchi wa Kata ya Ndugumbi, Manispaa ya Kinondoni, wameaswa kuwa mabalozi wa usafi katika maeneo wanayoishi ili kuepukana na mlipuko wa magonjwa yanayosababishwa na uchafuzi wa mazingira.
Wito hu...