Tarehe iliyowekwa: May 11th, 2024
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni Hanifa Suleiman Hamza, akiwa amebeba Mwenge wa Uhuru leo Mei 11, 2024 wakati wa risala ya kiapo cha utii ya Wananchi wa Kinondoni kwa Rais Dkt. Samia...
Tarehe iliyowekwa: May 11th, 2024
Mbio za Mwenge wa Uhuru zimeingia Wilayani Kinondoni, Mei, 11 2024 kutokea Kigamboni na kupokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Saad Mtambule katika viwanja vya shule ya msingi Mapinduzi...
Tarehe iliyowekwa: May 11th, 2024
Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa, Ndugu Godfrey Mzava, amezindua Klabu ya Wapinga Rushwa ya Shule ya Msingi Mapinduzi. Uzinduzi huo umefanyika Mei 11, 2024 Kata ya Kigogo....