• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fukwe na Visiwa
    • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Matukio ya Utalii
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Iliyopangwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Habari
    • Matukio

Miundombinu, Maendeleo ya Mjini na Vijijini

Idara hii ina majukumu ya kusimamia na kushauri masuala yote yanayohusu miundombinu katika Halmashauri. Malengo tajwa yatafikiwa kwa Idara kutekeleza kazi zifuatazo: -

  1. Kushauri kuhusu masuala ya sekta ya ujenzi;
  2. Kupanga maendeleo ya miundombinu;
  3. Kuchambua na kutoa mapendekezo ya madai ya malipo ya wakandarasi;
  4. Kukagua kazi za ujenzi zinazofanywa na Halmashauri na kuhakikisha ubora wake;
  5. Kutoa vyeti kwa wakandarasi kwa mikataba iliyokamilika;
  6. Kufanya uwekaji lami wa barabara mpya kwa kushirikiana na TARURA;
  7. Kuanzisha na kudumisha ushirikiano na Taasisi za nje na ndani ya nchi zinazoshughulikia masuala ya miundombinu;
  8. Kushiriki katika kuwezesha utatuzi wa migogoro ya matumizi ya ardhi;
  9. Kusimamia mchakato wa ukuaji wa miji kwa kushirikiana na Wizara yenye dhamana ya ardhi; na
  10. Kusimamia maendeleo ya makazi vijijini na mijini kwa kushirikiana na Wizara yenye dhamana ya Ardhi.

Idara hii inaundwa na Sehemu tatu (3) kama ifuatavyo: -

  1. Sehemu ya Ujenzi;
  2. Sehemu ya Barabara; na
  3. Sehemu ya Maendeleo Vijijini na Mijini.

Sehemu ya Ujenzi:

Sehemu hii inatekeleza shughuli zifuatazo: -

  1. Kutoa ushauri wa sheria, kanuni, taratibu na mambo yote yanayohusu ujenzi;
  2. Kuchambua, kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa sera, sheria na kanuni za masuala ya ujenzi;
  3. Kuandaa mikataba inayohusiana na majengo na mitambo;
  4. Kutayarisha na kukadiria gharama za ujenzi;
  5. Kufuatilia utendaji kazi wa wakandarasi;
  6. Kuchambua na kutoa mapendekezo ya madai ya malipo kutoka kwa wakandarasi;
  7. Kukagua majengo na kuhakikisha ubora wake;
  8. Kutoa hati kwa wakandarasi kwa kazi zilizokamilika kulingana na mikataba; na
  9. Kusimamia uendeshaji wa warsha za Halmashauri.

Sehemu ya Barabara:

Sehemu hii inatekeleza shughuli zifuatazo: -

  1. Kutoa ushauri kuhusu masuala yanayohusiana na utambuzi na uwekaji lami wa barabara mpya;
  2. Kuchambua, kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa sera, sheria na kanuni kwenye barabara za lami;
  3. Kutengeneza barabara mpya katika ardhi iliyopimwa;
  4. Kuandaa mikataba ya uwekaji lami wa barabara mpya;
  5. Kutayarisha makadirio ya gharama za kuweka lami barabara;
  6. Kufuatilia utendaji wa wakandarasi;
  7. Kutoa hati kwa wakandarasi kwa kazi zilizokamilika kulingana na mikataba;
  8. Kuchambua na kutoa mapendekezo ya madai ya malipo kutoka kwa wakandarasi;
  9. Kukagua barabara za lami ili kuhakikisha ubora; na
  10. Kusimamia ujenzi na matengenezo ya vituo vya mabasi.

Sehemu ya Maendeleo Vijijini na Mijini:

Sehemu hii itafanya shughuli zifuatazo:-

  1. Kusimamia maendeleo ya makazi vijijini na mijini kwa kushirikiana na Wizara yenye dhamana ya ardhi;
  2. Kusimamia huduma za kimazingira na kijamii;
  3. Kuongoza mipango ya maendeleo ya miji, makazi na matumizi endelevu ya ardhi;
  4. Kusimamia na kuratibu usimamizi wa mambo ya kale na utalii;
  5. Kusimamia mchakato wa ukuaji wa miji kwa kushirikiana na Wizara yenye dhamana ya ardhi;
  6. Kuratibu na kukuza maendeleo ya miji inayochipukia kutoka vijiji hadi makazi ya mijini; na
  7. Kushiriki katika kuwezesha utatuzi wa migogoro ya matumizi ya ardhi.

Matangazo

  • KUFUTA TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI March 14, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA March 13, 2023
  • TANGAZO KWA WASIOLIPIA VIWANJA BOKO DOVYA (KWA SOMJI) NA SALASALA February 15, 2023
  • MABADILIKO YA SIKU YA MAFUNZO YA WASIMAMIZI WA MAUDHUI, WASIMAMIZI WA TEHAMA NA MAKARANI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 28, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • JAPAN YAIPATIA MSAADA MZIMUNI SEKONDARI

    March 15, 2023
  • VIKUNDI VYAASWA MATUMIZI SAHIHI YA MIKOPO

    February 18, 2023
  • "HAKUNA TIMU KUBWA ZAIDI YA KMC FC"

    February 18, 2023
  • ULINZI NI KIPAUMBELE KINODONI-DC SAAD

    February 12, 2023
  • Tazama zote

Picha Jongefu

VIKUNDI VILIVYOSEPA NA BILIONI 11 VYAKALIWA KOONI MANISPAA YA KINONDONI. REJESHENI...
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • TAARIFA KWA UMMA
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.