• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

Miundombinu, Maendeleo ya Mjini na Vijijini

Idara hii ina majukumu ya kusimamia na kushauri masuala yote yanayohusu miundombinu katika Halmashauri. Malengo tajwa yatafikiwa kwa Idara kutekeleza kazi zifuatazo: -

  1. Kushauri kuhusu masuala ya sekta ya ujenzi;
  2. Kupanga maendeleo ya miundombinu;
  3. Kuchambua na kutoa mapendekezo ya madai ya malipo ya wakandarasi;
  4. Kukagua kazi za ujenzi zinazofanywa na Halmashauri na kuhakikisha ubora wake;
  5. Kutoa vyeti kwa wakandarasi kwa mikataba iliyokamilika;
  6. Kufanya uwekaji lami wa barabara mpya kwa kushirikiana na TARURA;
  7. Kuanzisha na kudumisha ushirikiano na Taasisi za nje na ndani ya nchi zinazoshughulikia masuala ya miundombinu;
  8. Kushiriki katika kuwezesha utatuzi wa migogoro ya matumizi ya ardhi;
  9. Kusimamia mchakato wa ukuaji wa miji kwa kushirikiana na Wizara yenye dhamana ya ardhi; na
  10. Kusimamia maendeleo ya makazi vijijini na mijini kwa kushirikiana na Wizara yenye dhamana ya Ardhi.

Idara hii inaundwa na Sehemu tatu (3) kama ifuatavyo: -

  1. Sehemu ya Ujenzi;
  2. Sehemu ya Barabara; na
  3. Sehemu ya Maendeleo Vijijini na Mijini.

Sehemu ya Ujenzi:

Sehemu hii inatekeleza shughuli zifuatazo: -

  1. Kutoa ushauri wa sheria, kanuni, taratibu na mambo yote yanayohusu ujenzi;
  2. Kuchambua, kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa sera, sheria na kanuni za masuala ya ujenzi;
  3. Kuandaa mikataba inayohusiana na majengo na mitambo;
  4. Kutayarisha na kukadiria gharama za ujenzi;
  5. Kufuatilia utendaji kazi wa wakandarasi;
  6. Kuchambua na kutoa mapendekezo ya madai ya malipo kutoka kwa wakandarasi;
  7. Kukagua majengo na kuhakikisha ubora wake;
  8. Kutoa hati kwa wakandarasi kwa kazi zilizokamilika kulingana na mikataba; na
  9. Kusimamia uendeshaji wa warsha za Halmashauri.

Sehemu ya Barabara:

Sehemu hii inatekeleza shughuli zifuatazo: -

  1. Kutoa ushauri kuhusu masuala yanayohusiana na utambuzi na uwekaji lami wa barabara mpya;
  2. Kuchambua, kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa sera, sheria na kanuni kwenye barabara za lami;
  3. Kutengeneza barabara mpya katika ardhi iliyopimwa;
  4. Kuandaa mikataba ya uwekaji lami wa barabara mpya;
  5. Kutayarisha makadirio ya gharama za kuweka lami barabara;
  6. Kufuatilia utendaji wa wakandarasi;
  7. Kutoa hati kwa wakandarasi kwa kazi zilizokamilika kulingana na mikataba;
  8. Kuchambua na kutoa mapendekezo ya madai ya malipo kutoka kwa wakandarasi;
  9. Kukagua barabara za lami ili kuhakikisha ubora; na
  10. Kusimamia ujenzi na matengenezo ya vituo vya mabasi.

Sehemu ya Maendeleo Vijijini na Mijini:

Sehemu hii itafanya shughuli zifuatazo:-

  1. Kusimamia maendeleo ya makazi vijijini na mijini kwa kushirikiana na Wizara yenye dhamana ya ardhi;
  2. Kusimamia huduma za kimazingira na kijamii;
  3. Kuongoza mipango ya maendeleo ya miji, makazi na matumizi endelevu ya ardhi;
  4. Kusimamia na kuratibu usimamizi wa mambo ya kale na utalii;
  5. Kusimamia mchakato wa ukuaji wa miji kwa kushirikiana na Wizara yenye dhamana ya ardhi;
  6. Kuratibu na kukuza maendeleo ya miji inayochipukia kutoka vijiji hadi makazi ya mijini; na
  7. Kushiriki katika kuwezesha utatuzi wa migogoro ya matumizi ya ardhi.

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.