• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

Kunduchi

HISTORIA FUPI:

Kata ya Kunduchi ilianzishwa mwaka 1970 na uchaguzi wa kwanza wa viongozi wa vijiji ulifanyika mwaka 1971. Eneo la Kata ya Kunduchi wakati wa ukoloni lilijulikana kwa jina la MAWENI eneo ambalo kwa kipindi hicho au mpaka sasa lina machimbo ya kokoto na mawe.

Maana ya neno Kunduchi MAKALIO KUWA WAZI kutokana na wakazi wake kuwa na mazoea ya kuvaa nguo nusu ili zisilowe walipokuwa wanavuka maji ya bahari kuelekea mtumbwini. Neno hili ni la Kizaramo

Kunduchi ni miongoni mwa kata 20 zinazounda Manispaa ya Kinondoni   ikiwa imepakana na Kata ya Kawe upande wa Kusini, Kata ya Bunju upande wa Kasikazini, Wazo upande wa Magharibi na upande wa Mashariki imepakana na Bahari ya Hindi. Kata ya Kunduchi ili anzishwa mwaka 2010, ikiwa imeundwa na mitaa sita nayo ni mtaa wa Kondo, Pwani, Kilongawima, Ununio, Pwani, Mtongani na Tegeta.

  • JIOGRAFIA YA KATA YA KUNDUCHI

Kata ya Kunduchi imepakana na Pwani ya bahari Hindi,

  • IDADI YA WAKAZI

Kata ya Kunduchi ina wakazi wapatao 89,814 kati yao wanaume ni 43,232 na wanawake ni 46,582.

  • IDADI YA MITAA

Kata ya Kunduchi imeundwa na mitaa sita ambayo ni Kilongawima, Mtongani, Ununio, kondo, Pwani na Tegeta.

  1. Mtaa wa Kilongawima
  2. Mtaa wa Kondo
  3. Mtaa wa Mtongani
  4. Mtaa wa Pwani
  5. Mtaa wa Ununio
  6. Mtaa wa Tegeta

 

  • HALI YA ELIMU KATIKA KATA

AINA YA SHULE

JINA LA SHULE YA MSINGI

IDADI JINSIA

JINA LA SHULE YA SEKONDARI

IDADI JINSI 

ME

KE

ME

KE

SERIKALI
JANGWANI BEACH
2
16
MTAKUJA BEACH SEC
 
 
KUNDUCHI
3
23
KONDO SEC
MICHAEL URIO
3
12
MTAKUJA
3
26
GODWIN GONDWE SEC
MTONGANI
6
27
PIUS MSEKWA
4
29
PWANI
2
16
UNUNIO
5
13
TEGETA
05
15
BINAFSI
ALPHA
 
 
GODWIN GONDWE
 
 
ASSUMPTER DIGITAL
 
 
KONDO SEC
BRIGHT HOPE
 
 
GHOMME SEC
BAHARI
 
 
CANOSSA
 
 
MTAKUJA BEACH
EDUCATION PLUS
 
 
JAMEDAL
 
 
ALPHA GIRLS
JOSEPH BAKHITA
 
 
MAKINI
 
 
MILESTONE
 
 
CANOSSA HIGH SCHOOL
NURU NJEMA
 
 
PRINCESS GATE
 
 
FEZA BOYS
ROYAL ELITE
 
 
SKY
 
 
ST. THOMAS
 
 
KUNDUCHI GIRLS
ST. JOSEPH
 
 
VALENTINE ELITE
 
 

Table 1: Shule za sekondari na msingi zinazo patikana kata ya Kunduchi

SHULE
SERIKALI
BINAFSI
SHULE YA MSINGI
9
17
SHULE YA SEKONDARI
3
5

Table 2: Idadi ya shule kata ya Kunduchi

WALIMU ZA MSINGI
SERIKALI
BINAFSI
WALIMU WA KIUME
33
145
WALIMU WA KIKE
177
329

Table 3: Idadi ya Walimu Kata ya Kunduchi

JINSIA
SERIKALI
BINAFSI
SEKONDARI
MSINGI
SEKONDARI
MSINGI
KIUME
1,728
5,387
480
2,794
KIKE
1,865
5,473
1,291
2,805

 Table 4: Idadi ya Wanafunzi Kata ya kunduchi

 

  • HALI YA AFYA KATIKA KATA
AINA
IDADI YA ZAHANATI
ZAHANATI ZA SERIKALI
3
ZAHANATI ZA BINAFSI
6

Table 5: Idadi ya Zahanati zinazo patikana Kata ya Kunduchi

  • VITUO VYA AFYA BINAFSI NA SERIKALI

Kata ya Kunduchi ina vituo viwili vya afya na vyote ni binafsi ambavyo ni Tegeta Mission na RC Health Center

  • HOSPITALI BINAFSI NA SERIKALI

Kunduchi ina hospitali moja tu nayo ni hospitali ya binafsi iitwayo SHREE HINDUL MANDAL

  • IDADI YA WAUGUZI WA ZAHANATI, VITUO VYA AFYA, HOSPITALI ZA SERIKALI NA BINAFSI WANAUME NA WANAWAKE
ZAHANATI

JINSIA

ME

KE

ZAHANATI ZA SERIKALI


ZAHANATI ZA BINAFSI
14
19




Table 6: Idadi ya wauguzi wa Zahanati kata ya Kunduchi

Idadi ya wauguzi vituo vya afya kata ya Kunduchi ni 13 ikiwa wanaume ni 9 na wanawake ni 4


ZAHANATI ZA SERIKALI ZILIZOPO KATIKA KATA:

Kata ya Kunduchi ina Zahanati saba (07) za binafsi kama ifuatavyo: -

  1. Zahanati ya MICO
  2. Zahanati ya TAIFORC
  3. Zahanati ya ST. THERESA
  4. Zahanati ya AAFA
  5. Zahanati ya DR. MHINA
  6. Zahanati ya NYANGA
  7. Zahanati ya NEW TEGETA


KLINIKI ZA BINAFSI ZILIZOPO KATIKA KATA:

  1. Kliniki ya Kwisa
  2. Kliniki ya Nyanga
  3. Kliniki ya Shree Hindu Mandal Polyclinic


  • HALI YA MIUNDOMBINU KATIKA KATA
  •  
  • Barabara za lami zipo 16
  •  Barabara za mitaa zipo 225
  • BIASHARA NA UWEKEZAJI
  • IDADI YA MASOKO

Masoko yaliyopo katika Kata ya Kunduchi ni mawili ambayo ni soko la Tegeta Nyuki na soko la Tegeta kwa Ndevu. 

5.0 VIVUTIO VYA UTALII VILIVYOPO KATIKA KATA

Kata ya Kunduchi ina kivutio cha utalii kimoja ambacho ni magofu ya kale

  • MIRADI YA MAENDELEO ILIYOPO KATIKA KATA INAYO ENDELEA NA ILIYO KAMILIKA
  • MIRADI ILIYO KAMILIKA KATA YA KUNDUCHI MWAKA 23/24
  • Ukarabati wa madarasa 10 katika shule ya msingi Jangwani Beach 
  • Ujenzi wa choo matundu 13 shule ya msingi Ununio 
  • Ukamlishaji wa vyumba 6 vya madarasa na ujenzi wa madarasa 6 mengine shule ya msingi Michael Urio 
  • Ujenzi wa nyumba za walimu shule ya sekondari Godwin Gondwe 
  • Ujenzi wa madarasa 24 na vyoo 44 shule ya sekondari Godwin Gondwe 
  • MIRADI INAYO ENDELEA KUTEKELEZWA KATA YA KUNDUCHI MWAKA WA FEDHA 23/24
  • Kufanya ukarabati wa    madarasa 14 na stoo 2 shule ya msingi mtakuja ifikapo june 2024 
  • Kutengeneza majiko ya maalumu ya gesi kwa ajili ya kukaangia samaki katika mwalo wa kunduchi pwani ifikapo june 2024.
  • IDADI YA MAGULIO

Kata ya Kunduchi ina Gulio moja linalo patikana eneo la Mecco mtaa wa Mtongani na linafanyika kila siku Ijumaa ya kila wiki.

  • IDADI YA STENDI ZA MABASI

Stendi za mabasi zinazo patikana kata ya Kunduchi ni moja ambayo ni stendi ya Tegeta-Nyuki

  • IDADI YA VIWANDA

Kata ya Kunduchi ina jumla ya viwanda 10

  • IDADI YA BANDARI

Kunduchi kuna bandari moja tu ambayo ni bandari ndogo ya Kunduchi-Pwani

  • MAHUSIANO NA USHIRIKIANO NA WADAU MBALIMBALI WA MAENDELEO NA MASHIRIKA UPOJE

Uhusiano na wadau ni wa wastani

  •  HALI YA ULINZI NA USALAMA KATIKA KATA

Hali ya ulinzi na usalama katika kata ya Kunduchi ni nzuri kutokana na uwepo ulinzi shirikishi kila Mtaa ambao wanashirikiana na Jeshi la Polisi kuhahakisha amani inatamalaki Kata ya Kunduchi.


  • USAFI NA MAZINGIRA

Hali ya usafi katika mitaa ina ridhisha kwasababu mkandarasi aliyepewa tenda ya kuhakikisha takataka zinazolewa kwa mda na maeneo yote anatoa ushirikiano kwa Wananchi. Kampuni ya GIN INVESTMENT inafanya kazi katika Kata ya Kunduchi.

  • IDADI YA MAAFISA NGAZI YA KATA

Maafisa Ugavi wapatikanao kata ya Kunduchi wapo 10 kwamchanganuo ufuatao

S/N
JINA
IDADI
01
AFISA ELIMU KATA
1
02
AFISA MIFUGO
1
03
AFISA KILIMO
1
04
AFISA AFYA
2
05
AFISA MAENDELEO YA JAMII
2
06
AFISA USTAWI WA JAMII
1
07
POLISI KATA
1
08
MTENDAJI KATA
1
09
TOTAL
10

Table 7:Idadi ya Maafisa Ugavi Kata ya Kunduchi

  • IDADI YA VIKUNDI VILIVYO PATA MKOPO KATA YA KUNDUCHI MWAKA WA FEDHA 22/23.
  • Jumla ya Vikundi vya Wajasiliamali waliopo Kata ya Kunduchi ni 117 lakini waliopata mikopo ya 10% ni kama ifuatavyo;
  • VAA ORIGINAL PRODUCTS
  • FAIDHINA GROUP
  • TOGETHER FOREVER WOMEN
  • MGONILE GROUP
  • GOSHENI
  • AMANI WOMEN GROUP
  • KUTEPWA GROUP
  • HERORIES
  • YAGMA GROUP


HALI YA MIUNDOMBINU YA BARABARA:

Hali ya miundombinu ya barabara katika Kata ya Kunduchi ni ya kuridhisha. Mtandao wa barabara za lami katika Kata ni barabara ya Tegeta Nyuki - Kondo, Kilongwima, Kunduchi beach, Ras Kilomoni.


MAHUSIANO NA WADAU WA MAENDELEO:

Mahusiano ya wadau wa maendeleo na uongozi wa Kata na mitaa ni mazuri. Kata inashirikiana na wadau mbalimbali katika kufanikisha shughuli zake. Wadau hao ni pamoja na Rottery Club, Massana hospitali, Water aid.

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.