Tarehe iliyowekwa: September 7th, 2022
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mheshimiwa Godwin Gondwe amewataka wadau wote ufukwe wa Coco beach kuimarisha ulinzi na usalama na kukomesha kabisa vitendo vya ubakaji na udhalilishaji katika eneo hilo.
...
Tarehe iliyowekwa: September 1st, 2022
Katibu Tawala wa Wilaya ya Kinondoni Bi. Stella Msofe amewataka wazazi/walezi kutoa ushirikiano katika kampeni ya utoaji chanjo ya matone ya polio kwa watoto iliyoanza Septemba mosi mpaka Septemba 4, ...
Tarehe iliyowekwa: September 1st, 2022
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Godwin Gondwe amepongeza Wakandarasi wa kampuni ya Estim pamoja na Wakala wa barabara vijijini na mjini (TARURA) kwa kazi kubwa waliyoifanya ya utekelezaji wa mradi w...