• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

Kigogo

HISTORIA FUPI:

Kata ya Kigogo ni miongoni mwa Kata 20 za Manispaa ya Kinondoni. Asili ya jina Kigogo ni uwepo wa gogo lilokuwepo maeneo ilipo Randa bar kwa sasa ambalo lilikuwa na asili ya maji yaliyopatikana hapo.

Eneo hilo pia lilitumika kwa ajili ya matambiko na wenyeji wa eneo hilo ambao asili yao ni Wazaramo. Kwa sasa gogo hilo halipo tena.

 

Kata ya kigogo ni miongoni mwa Kata (20) zilizopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, Kata in jumla ya mitaa mitatu (3) ambayo ni Kigogo Mbuyuni, Kigogo Mkwajuni na Kigogo kati. Kwa mujibu wa Sensa ya mwaka 2022 Kata Kigogo in jumla ya wakazi 45,291 wakiwemo wanaume 22,681 na wanawake 22,610 pia ina jumla ya Kaya zipatazo 24,156 Kata ya kigogo ina ukubwa wa 1.9 km square. 

HALI YA ELIMU

Kata ya Kigogo ina jumla ya shule saba (7) shule za msingi na shule za serikali (4) binafsi shule mbili (2) na Sekondari moja tu (1)

SHULE YA SEKONDARI KIGOGO

Walimu – Me 7, Ke 16 Jumla 23

Wanafunzi – Me 430, ke 606 Jumla 1,036

SHULE YA MSINGI MAPINDUZI

Walimu – Me 5, Ke 10 Jumla 15

Wanafunzi – Me 378, ke 348 Jumla 726

SHULE YA MSINGI MKWAWA

Walimu – Me 7 Ke 20 Jumla 27

Wanafunzi – Me 803, Ke 899 Jumla 1,702

SHULE YA MSINGI KIGOGO

Walimu Me 5, Ke 23 Jumla 28

Wanafunzi – Me 663, Ke 773 Jumla 1,436

SHULE YA MSINGI GILMAN RUTHINDA

Walimu Me 6, Ke 17 Jumla 23

Wanafunzi Me 435, Ke 519 Jumla 954

SHULE BINAFSI

GONZAGA SHULE YA MSINGI (PRIVATE)

Walimu Me 10, Ke 13 Jumla 23

Wanafunzi Me 201, Ke 249 Jumla 450

DEEPSEA SGULE YA MSINGI (PRIVATE) 

Walimu Me 7, Ke 17 Jumla 24

Wanafunzi Me 259, Ke 331 Jumla 590

HALI YA AFYA 

Kata ya Kigogo ina jumla ya Zahanati Moja ambayo inapatikana Mtaa wa Kigogo kati, inajumla ya wafanyakazi 14 waajiriwa 9 wanaojitolea watatu (3) pamoja na vibarua wawili (2).

Pia kata ya kigogo ina kituo kimoja (1) cha afya ambacho kinapatikana Mtaa wa Kigogo kati chenye waajiriwa 49 na vibarua watatu (3).

 

HOSPITALI BINAFSI

Mafaransa – Mtaa wa mkwajuni

Morvian – Mtaa wa Mbuyuni

Azania – Mtaa wa Mbuyuni

HALI YA MIUNDOMBINU 

Barabara kutoka randa bar kuelekea Mkwajuni km 1.25

Barabara ya changarawe na mifereji yake kutoka Rombo kuelekea mgana road km 0.85 ambazo zipo chini ya tarura

MIRADI YA MAENDELEO 

Ujenzi wa madarasa (14), matundu (18) ya choo jengo la Utawala (1) na matundu ya kuchomea taka kwa mfumo wa ghoroga na madarasa (2) ya chini na matundu (6) ya choo shule ya Msingi Mapinduzi gharama ni Tshs 1,158,000,000/=

Ujenzi wa madarasa sita (6) ya kupanda juu ya ghorofa ya kwanza shule ya msingi Mkwawa gharama ni Tshs 217,000,000/=

Kuweka taa za barabarani kata ya Kigogo taa 30, gharama ni Tshs 58,040,000/=

BIASHARA YA UWEKEZAJI 

Kata ya kigogo ina soko ambalo ni soko la Coca-cola ambalo linapatikana katika Mtaa wa Kigogo kati, pia kuna Stendi (4) za mabasi katika kata ya Kigogo.

MAHUSIANO NA USHIRIKIANO NA WADAU

Kata ya kigogo imefanikiwa kuwa na wadau mbalimbali wa maendeleo na pia tumefanikiwa kuwa na ushirikiano mzuri na wadau mfano SGP tunafanya kazi nao vizuri hata waliweza kutuletea vifaa vya usafi na tuna Taasisi za dini tunafanya nao kazi kwa ushirikiano mkubwa pamoja na shule zetu binafsi.

HALI YA ULINZI NA USALAMA 

Kata ya kigogo inasimamiwa ulinzi na Afisa polisi wa kata pamoja na Mwenyekiti wa ulinzi ambaye ni mtendaji wa kata na walinzi shirikishi ambao wamesababisha kuimarisha ulinzi katika kata nzima na kupelekea uwepo wa amazni nyakati zote kuwa kituo kidogo kimoja cha Polisi.

USAFI NA MAZINGIRA

Afisa afya akishirikiana na Watendaji wa mtaa na Mwenyekiti wa Mtaa wameshirikiana kuhamasisha wananchi kufanya usafi katika mitaa yao na kuwachukulia hatua watu wanao leta usumbufu kufanya usafi na ulipaji wa ada ya Taka

Idadi ya vikundi vya ujasiriamali ni vikundi 36 na vilivyopata mikopo ni vikundi 299

Maafisa ugavi wa kata ya Kigogo ni kama ifuatavyo:-

ZUHURA ALMASY – WEO KIGOGO

JANETH MGAYA – MEO MBUYUNI

MAHUSIANO NA WADAU WA MAENDELEO:

Mahusiano ya wadau wa maendeleo na uongozi wa Kata na mitaa ni mazuri, kwani wako mstari wa mbele kuchangia shughuli za kijamii na miradi ya maendeleo.

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.