• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fukwe na Visiwa
    • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Matukio ya Utalii
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Iliyopangwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Habari
    • Matukio

Kigogo

HISTORIA FUPI:

Kata ya Kigogo ni miongoni mwa Kata 20 za Manispaa ya Kinondoni. Asili ya jina Kigogo ni uwepo wa gogo lilokuwepo maeneo ilipo Randa bar kwa sasa ambalo lilikuwa na asili ya maji yaliyopatikana hapo.

Eneo hilo pia lilitumika kwa ajili ya matambiko na wenyeji wa eneo hilo ambao asili yao ni Wazaramo. Kwa sasa gogo hilo halipo tena.

 

IDADI YA MITAA:

Kata ya Mzimuni ina jumla ya mitaa mitatu (03) ya Kiserikali ambayo ni: -

  1. Mtaa wa Kigogo Mkwajuni
  2. Mtaa wa Kigogo Kati
  3. Mtaa wa Kigogo Mbuyuni

 

HALI YA ELIMU KATIKA KATA:

Hali ya elimu katika Kata ni ya kuridhisha, hasa elimu ya msingi na sekondari kwa uwepo wa shule za serikali na binafsi.


SHULE ZA MSINGI ZA SERIKALI:

Kata ya Kigogo inazo shule za msingi nne (04) za serikali kama ifuatavyo: -

  1. Shule ya msingi Kigogo
  2. Shule ya msingi Mkwawa
  3. Shule ya msingi Mapinduzi
  4. Shule ya msingi Ruthihinda

 

SHULE ZA MSINGI ZA BINAFSI:

Kata ya Kigogo inazo shule za msingi mbili (02) za binafsi kama ifuatavyo: -

  1. Shule ya msingi Gonzaga
  2. Shule ya msingi Deep sea

 

SHULE YA SEKONDARI YA SERIKALI:

Kata ya Kigogo inayo shule moja ya sekondari inayojulikana kwa jina la shule ya sekondari ya Kigogo.


HALI YA AFYA:

Hali ya Afya katika Kata ya Tandale ni ya kuridhisha kwani ina Kituo cha Afya cha serikali na Zahanati ya serikali na za binafsi.


KITUO CHA AFYA KATIKA KATA YA KIGOGO:

Kata ya Kigogo ina Kituo cha Afya kimoja cha serikali kinachojulikana kwa jina la Kituo cha Afya Kigogo.


ZAHANATI YA SERIKALI ILIYOPO KATA YA KIGOGO:

Kata ya Kigogo ina Zahanati moja serikali inayojulikana kwa jina la Zahanati ya Kigogo.


ZAHANATI YA BINAFSI ZILIZOPO KATA YA KIGOGO:

Kata ya Kigogo ina Zahanati tano (05) za binafsi kama ifuatavyo: -

  1. Zahanati ya Azania
  2. Zahanati ya Arafa
  3. Zahanati ya Charitable
  4. Zahanati ya Moravian
  5. Zahanati ya Mafaransa


HALI YA MIUNDOMBINU YA BARABARA:

Hali ya miundombinu ya barabara katika Kata ya Kigogo ni ya wastani. Barabara moja tu iliyo na lami iliyojengwa na mradi wa CIUP yenye urefu wa mita 300, barabara nyingine zote ni za vumbi za kuunganisha mitaa na hali yake siyo nzuri.


MAHUSIANO NA WADAU WA MAENDELEO:

Mahusiano ya wadau wa maendeleo na uongozi wa Kata na mitaa ni mazuri, kwani wako mstari wa mbele kuchangia shughuli za kijamii na miradi ya maendeleo.

Matangazo

  • KUFUTA TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI March 14, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA March 13, 2023
  • TANGAZO KWA WASIOLIPIA VIWANJA BOKO DOVYA (KWA SOMJI) NA SALASALA February 15, 2023
  • MABADILIKO YA SIKU YA MAFUNZO YA WASIMAMIZI WA MAUDHUI, WASIMAMIZI WA TEHAMA NA MAKARANI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 28, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • JAPAN YAIPATIA MSAADA MZIMUNI SEKONDARI

    March 15, 2023
  • VIKUNDI VYAASWA MATUMIZI SAHIHI YA MIKOPO

    February 18, 2023
  • "HAKUNA TIMU KUBWA ZAIDI YA KMC FC"

    February 18, 2023
  • ULINZI NI KIPAUMBELE KINODONI-DC SAAD

    February 12, 2023
  • Tazama zote

Picha Jongefu

VIKUNDI VILIVYOSEPA NA BILIONI 11 VYAKALIWA KOONI MANISPAA YA KINONDONI. REJESHENI...
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • TAARIFA KWA UMMA
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.