Tarehe iliyowekwa: December 5th, 2022
Wazazi na walezi wa wanafunzi wa shule za Msingi Manispaa ya Kinondoni, wametakiwa kuwapatia watoto wao chakula cha asubuhi kabla hawajaenda shuleni.
Wito huo umetolewa leo na Afisa Elimu Msing...
Tarehe iliyowekwa: December 2nd, 2022
Manispaa ya Kinondoni, leo imezindua rasmi maadhimisho ya sherehe za miaka 61 ya Uhuru.
Uzinduzi huo umefanyika katika shule ya Sinza Maalum iliyopo Kata ya Kijitonyama kwa kushiriki shughuli z...
Tarehe iliyowekwa: December 1st, 2022
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mheshimiwa Godwin Gondwe, amewataka watoa chanjo ya Polio na watunza takwimu, kuandika takwimu sahihi badala ya kughushi.
Wito huo ameutoa leo wakati akizindua kamp...