Tarehe iliyowekwa: March 13th, 2024
Wanawake wa Wilaya ya Kinondoni wameaswa kuthibitisha kauli mbiu ya siku ya Wanawake inayosema "Wekeza kwa Wanawake ili kuharakisha maendeleo na ustawi wa jamii" kwa vitendo.
Hayo yamesemwa n...
Tarehe iliyowekwa: March 11th, 2024
Wananchi wa Kata ya Ndugumbi, Manispaa ya Kinondoni, wameaswa kuwa mabalozi wa usafi katika maeneo wanayoishi ili kuepukana na mlipuko wa magonjwa yanayosababishwa na uchafuzi wa mazingira.
Wito hu...
Tarehe iliyowekwa: March 11th, 2024
Wajasiriamali wa eneo la SIDO, Manispaa ya Kinondoni, wamemshukuru Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kuwawezesha mitaji kupitia mikopo ya asilimia kumi....