Tarehe iliyowekwa: May 2nd, 2024
Kiwanda cha Darbrew, kilichopo Ubungo, kimerejeshwa Serikali ya Mkoa wa Dar es Salaam.
Makabidhiano ya kiwanda hicho yalifanyika Mei 02, 2024 chini ya uangalizi wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mh...
Tarehe iliyowekwa: May 1st, 2024
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mheshimiwa Albert John Chalamila, Mei 1, 2024 aliongoza maelfu ya Wafanyakazi na Wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaam katika maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi Duniani.
...
Tarehe iliyowekwa: May 1st, 2024
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Mheshimiwa Albert Chalamila, amewahakikishia watumishi wa umma kuwa, hoja zao mbalimbali za kiutumishi zinafanyiwa kazi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...