• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

Wazo

HISTORIA FUPI:

Kata ya Wazo ni Kata ambayo ilizaliwa na Kata ya Kunduchi. Kwa kipindi hicho Kata ya Kunduchi ilikuwa inaundwa na mitaa sita (06) ambayo ni Tegeta, Wazo Madale, Mtongani, Ununio na Salasala.
Mnamo mwaka 2009 Kata ya Kunduchi ikagawanyika na kuzaliwa Kata ya Wazo. 

Jina la Wazo lilitokana na uwepo wa kiwanda cha saruji (WAZO HILL -TWIGA CEMENT) na watu wengi walikuwa wakifanya kazi katika kiwanda hicho na hapo ndipo jina la Wazo likazaliwa. Kwa kipindi hicho Kata ya Wazo ilikuwa inaundwa na Mitaa sita ambayo ni Salasala, Wazo, Madale, Mivumoni, Kilimahewa na Kisanga. Ilipofika mwaka 2014 Kata ya Wazo iliongezewa mitaa miwili ambayo ni Nyakasangwe na Kilimahewa juu.


ASILI YA WATU WA WAZO; Kabla ya mgawanyiko wa Kata ya Kunduchi na Wazo asilimia kubwa ya eneo la Wazo lilikuwa ni mashamba na mapori na wenyeji wengi walikuwa ni wakulima na wafugaji. Wafanyakazi wachache ni waliokuwa wakifanya kazi kiwanda cha saruji cha Twiga pamoja na wavuvi. Kuna mchanganyiko wa makabila mbalimbali ndani ya Kata ya Wazo ikiwemo, Wamakonde, Wazaramo, Wangoni, Wahehe, Wamwera n.k.


ASILI YA JINA LA MTAA MADALE; zamani Madale ilikuwa ikijulikana kama Madala kwa lugha ya King’indo ikimaanisha kuwa ni sehemu iliyokuwa na tabu, pagumu kuishi. Miaka ya 1980/1990 kulikuwepo na kambi ya SCOUT iliyoanzishwa na Marehemu Hayati Rashid Mfume Kawawa. Bahati mbaya wafadhili waliokuwa wanawafadhili vijana wa kambi hiyo wazungu kutoka Norway walikuwa wanashindwa kutamka neno Madala badala yake wakawa wanatamka Madale. Kwa hiyo majina yote mawili yakaendelea kutumika mpaka mwaka 2014 jina la Madala likafa na Kiserikali likabaki Madale.


IDADI YA MITAA:

Kata ya Wazo ina jumla ya Mitaa nane (08) kama ifuatavyo:-

1.    Mtaa wa Salasala

2.    Mtaa wa Kilimahewa

3.    Mtaa wa Kilimahewa Juu

4.    Mtaa wa Wazo

5.    Mtaa wa Kisanga

6.    Mtaa wa Mivumoni

7.    Mtaa wa Madale

8.    Mtaa wa Nyakasangwe

1
MADALE
18,259
8,670
9,589
2
MIVUMONI
18,816
8,909
9,907
3
KISANGA
11,604
5,519
6,085
4
WAZO
33,496
16,243
17,253
5
SALASALA
23,734
11,194
12,253
6
KILIMAHEWA
11,962
5,707
6,255
7
KILIMAHEWA JUU
18,316
8,774
9,542
8
NYAKASANGWE
16,826
8,011
8,815


153,013
73,027
79,986
  • HALI YA ELIMU KATIKA KATA
  • SHULE ZA AWALI/MSINGI ZA SERIKALI
NA
JINA LA SHULE
IDADI YA WALIMU
IDADI YA WANAFUNZI
 
 
ME
KE
ME
KE
1
BENACO
01
18
518
492
2
KILIMAHEWA JUU
00
23
610
565
3
WAZO HILL
05
25
883
825
4
TWIGA
04
16
457
492
5
MIVUMONI
02
27
856
776
6
NAKASANGWE
05
36
1216
1198
7
SALASALA
01
38
884
986
8
KISAUKE
05
33
998
1103
9
JOSEPHAT GWAJIMA
02
04
49
28
  • SHULE ZA AWALI/MSINGI ZA BINAFSI
NA
JINA LA SHULE
IDADI YA WALIMU
IDADI YA WANAFUNZI
 
 
ME
KE
ME
KE
1
NURU NJEMA
11
04
165
200
2
MOTHER OF MERCI
16
15
336
331
3
CW KISARO
08
05
108
95
4
BRAIN YIELD
09
10
69
67
5
KELAND
14
14
158
143
6
KINGDOM
08
07
157
167
7
GREEN ACRES
11
10
121
132
8
ATLAS
33
28
512
539
9
UWATA
11
14
235
192
10
STARLIGHT
09
03
86
90
11
GABBY’S
00
08
25
33
12
MAARIFA ISLAMIC
10
05
145
167
13
HAZRAT KHADIJA
01
13
41
53
14
DE PAUL
15
14
202
247
15
LIVINGSTONE
05
06
67
75
16
LACHISH
05
11
113
104
17
ELESIA CHRISTABEL
07
04
114
101
18
PALACE
07
14
26
29
19
LITTLE ANGEL
06
02
34
20
20
NURU NJEMA HALISI
19
05
154
169
  • SHULE ZA SEKONDARI ZA SERIKALI
NA
JINA LA SHULE
IDADI YA WALIMU
IDADI YA WANAFUNZI
 
 
ME
KE
ME
KE
1
KISAUKE
10
41
553
657
2
SONGORO MNYONGE
5
14
654
630
3
TWIGA
09
31
665
699
4
MIVUMONI
08
33
516
640
5
MAENDELEO
10
27
464
445
  • SHULE ZA SEKONDARI BINAFSI
NA
JINA LA SHULE
IDADI YA WALIMU
IDADI YA WANAFUNZI
 
 
ME
KE
ME
KE
1
ATLAS
13
08
109
107
2
GREEN ACRES
08
06
74
76
3
AFRICANA
05
01
11
12
4
YOHANNES
17
07
221
153
5
DYNAMIC
07
03
43
35
6
REHEMA WAKFU
13
10
147
165
7
GREEN LIGHT
11
03
00
189
8
KO’SIRYAMU
10
02
80
80
9
CORNELIUS
06
02
21
15
10
PATRICK MISSION
21
04
209
199
11
ANDREW FAZA
00
00
00
00


  • HALI YA AFYA KATIKA KATA
  • ZAHANATI ZA SERIKALI

NA

JINA LA ZAHANATI

IDADI YA WAUGUZI



ME

KE

1
SALASALA
03
04
2
WAZO
01
03
3
MADALE
01
05
  • ZAHANATI ZA BINAFSI

NA

JINA LA ZAHANATI

IDADI YA WAUGUZI



ME

KE

1
FARAJA DISPENSARY


2
MAUTO DISPENSARY


3
EDEN DISPENSARY


4
NURU DISPENSARY


  • VITUO VYA AFYA VYA  SERIKALI

NA

JINA LA KITUO

IDADI YA WAUGUZI



ME

KE

1
NYAKASANGWE KITUO KIPYA HAKIJAANZA KAZI


  • HOSPITALI ZA BINAFSI

NA

JINA LA HOSPITALI

IDADI YA WAUGUZI



ME

KE

1
KITENGULE


2
RABININSIA


3
SEMWI POLYCLINIC


4
GENESIS POLYCLINIC


  • HALI YA MIUNDOMBINU KATIKA KATA

Kata ya Wazo ina barabara za lami zipatazo 5 zenye jumla ya Km 18 Kwa mchanganuo ufutao

  • Barabara ya Salasala  km 2.1
  • Barabara ya Africana Km 3
  • Barabara ya Wazo Km 5.3
  • Barabara ya Mboma Km 1.5
  • Barabara ya Bagamoyo Km 4.6
  • Barabara ya Iptl (Skanska) Km 1.5

Pia kuna barabara za mitaa zipatazo 734 katika mitaa yote 8 Kata ya Wazo ambazo kwa sasa baadhi ya barabara hizo zipo katika hali mbaya sana kutokana na mvua nyingi.

  • BIASHARA NA UWEKEZAJI

Kata ya Wazo ina Soko moja (1) lililopo Mtaa wa Mivumoni.

Kata ya Wazo ina viwanda mbalimbali ambapo orodha yake imeambatanishwa.

  • HALI YA ULINZI NA USALAMA

Hali ya ulinzi na usalama katika kata ya Wazo ni ya kuridhisha hii inatoka na mitaa yote kuwa na vikundi vya ulinzi shirikishi ambavyo kushirikiana na Jeshi la Polisi katika kuhakikisha maeneo ya Kata yetu yanakuwa salama.

Kata ya Wazo ina vituo 3 vya Polisi ambavyo ni kama ifuatavyo;

  • Madale ambacho ndio kituo kikubwa
  • Wazo
  • Salasala
  • HALI YA USAFI WA MAZINGIRA

Hali ya usafi wa mazingira kata ya Wazo ni ya kuridhisha hii inatokana na Wakandarasi wa uzoaji taka wa Kata yetu kufanya kazi kwa ufanisi ingawa kuna changamoto ya taka kutozolewa kwa wakati katika baadhi ya maeneo hii inatokana na wakandarasi hao kutokuwa na vifaa vya kutosheleza.

  • MIRADI YA MAENDELEO ILIYOPO KATIKA KATA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA KATIKA KATA
  • Ujenzi wa Soko la Mivumoni
  • Ujenzi wa Kituo cha Afya Nyakasangwe
  • Ujenzi wa Mahakama ya mwanzo Nyakasangwe (umefanywa na Serikali kuu)
  • Ujenzi wa shule mpya ya mchepuo wa Kiingereza ya Josephat Gwajima
  • MIRADI INAYOENDELEA KATIKA KATA
Na 
Jina la mradi
kiasi
Hali ya mradi
1
Ujenzi wa madarasa 10 ya ghorofa na matundu 11 ya vyoo katika shule ya Sekondari Songoro Mnyonge

200,000,000/=

Mradi unaendelea kutekelezwa
2
Ujenzi matundu 12 ya vyoo katika shule ya msingi Twiga

37,000,000/=

Mradi upo katika hatua ya mwisho ya kukamilika
3
Ujenzi wa shule mpya ya msingi Panga (Samia Suluhu Hassan)

227,500,000/=

Mradi upo katika hatua mbalimbali ya kuanzwa kutekelezwa
4
Ujenzi wa kivuko cha waenda kwa miguu cha IPTL Gwajima

10,000,000/=

Mradi katika hatua ya kuanza uteekelezaji
5
Ujenzi wa kivuko cha waenda kwa Miguu cha Huruma

18,820,400/=

Mradi upo katika hatua ya kutekelezwa

 

  • MAHUSIANO NA WADAU MBALIMBALI KATIKA KATA

Kata ya Wazo imeendelea kuwa na mahusiano mazuri na wadau mbalimbali wa maendeleo kwa kushirikiana katika Nyanja mbalimbali za maendeleo katika Kata yetu kama vile Elimu, Afya, Miundombinu na maendeleo ya jamii kwa ujumla ambapo wadau hao hushiriki mbalimbali za kijamii.

  • MAAFISA NGAZI YA KATA

Kata ya Wazo ina Maafisa ugani 10 ambao ni wafuatao

NA

JINA

CHEO

1
GLORY CHONJO
AFISA MAENDELEO YA JAMII
2
FATUMA KILUVIA
AFISA MAENDELEO YA JAMII
3
ZAWADI MDEMU
AFISA USTAWI WA JAMII
4
ROSELYN A. MTENGA
AFISA AFYA
5
GABRIELA TARIMO
AFISA AFYA
6
STANLEY NDELWA
AFISA MIFUGO
7
LULU JACKSON
AFISA MIFUGO
8
MATRIDA MASASI
MRATIBU WA ELIMU
9
NOVATUS RWEMERA
MRATIBU WA ELIMU
10
MAGORI MOGASA
AFISA KILIMO


HALI YA MIUNDOMBINU:

Kata ya Wazo inayo miundombinu ya barabara za lami na changarawe kuu nne ambazo ni; 

  1. Barabara ya kutoka Madale hadi Kibaoni Mbuyuni yenye urefu wa kilomita 2.5,  
  2. Barabara ya Mbuyuni hadi mwisho w lami yenye urefu wa kilomita 0.3
  3. Barabara ya Afrikana hadi shule ya msingi Salasala yenye urefu wa kilomita 2.5
  4. Barabara ya Skanska hadi IPTL yenye urefu wa kilomita 1.5


MAHUSIANO YA WADAU:

Kata ya Wazo pamoja na wananchi wake inayo mahusiano ya kuridhisha  na wadau wake, na ndio maana wanashirikiana kwa pamoja katika kusukuma maendeleo ya Kata yao.


MIRADI YA KUJIVUNIA KATIKA KATA

  1. Ujenzi wa Kituo cha polisi ghorofa moja - Mtaa wa Madale kwa nguvu za wananchi.
  2. Ujenzi wa daraja la Mbopo
  3. Uwepo wa maabara katika sekondari zote tatu
  4. Uwepo wa Zahanati tatu katika Kata

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.