• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fukwe na Visiwa
    • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Matukio ya Utalii
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Iliyopangwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Habari
    • Matukio

Ndugumbi

HISTORIA FUPI:

Kata ya Ndugumbi ilianza mwaka 2000 baada ya Kata ya Magomeni kugawanywa. Asili ya jina la Kata ya Ndugumbi ni kutokana na mzee maarufu aliyekuwa akiishi hapo ambaye yeye na ndugu yake walikuwa wanashirikiana na serikali kwa ukaribu kama wadau wa maendeleo katika utoaji wa maeneo ya ujenzi wa miundombinu mbalimbali ya kijamii ikiwemo shule, makanisa na misikiti. Mfano eneo lililojengwa shule ya sekondari Turiani lilitolewa na ndugu hao wawili kusaidia ujenzi  wa shule hiyo.


IDADI YA MITAA KATIKA KATA:

Kata ya Ndugumbi inayo itaa minne (04) ambayo ni: -

  1. Mtaa wa Mpakani
  2. Mtaa wa Mikoroshini
  3. Mtaa wa Makanya
  4. Mtaa wa Vigaeni


HALI YA ELIMU KATIKA KATA:

Hali ya elimu katika Kata ni ya wastani, hasa elimu awali na msingi. Aidha kuna shule tatu (03) ambazo ni

  1. Shule ya msingi Mwalimu Nyerere
  2. Shule ya msingi Turiani
  3. Shule ya msingi Ndugumbi


SHULE YA SEKONDARI ZA SERIKALI NA ZA BINAFSI:

Kata ya Ndugumbi inazo shule mbili (02) za sekondari za serikali na binafsi kama ifuatavyo: -

  1. Shule ya sekondari Turiani - Serikali
  2. Shule ya sekondari Baptist church - Binafsi


HALI YA AFYA:

Hali ya Afya katika Kata ya Ndugumbi ni ya kuridhisha kwani Kata ina Kituo cha Afya cha serikali pamoja Zahanati za serikali na binafsi.


KITUO CHA AFYA KILICHOPO KATA YA NDUGUMBI:

Kituo cha Afya kilichopo ni kimoja ambacho ni cha serikali kinaitwa Kituo cha Afya cha Magomeni.


ZAHANATI ILIYOPO KATA YA NDUGUMBI:

Kata ya Ndugumbi ina Zahanati moja ya binafsi inayojulikana kwa jina la Zahanati ya Subi.


HALI YA MIUNDOMBINU YA BARABARA:

Hali ya  miundombinu ya barabara ni ya wastani, kukiwa na barabara kadhaa zinazoitaji  marekebisho madogo, pamoja na kuwekewa mitaro mizuri pembezoni mwa barabara. Kkwa upande wa barabara za lami kuna takribani kilomita 10 barabara za kiwango cha lami katika kata ya Ndugumbi.


MAHUSIANO NA WADAU:

Hali ya Mahusiano na wadau katika Kata ni ya kuridhisha kwani hushirikiana pamoja katika kuleta maendeleo .


MIRADI  YA KUJIVUNIA KATIKA KATA:

Kata inayo miradi inayojivunia kwayo ambayo hutekelezwa kama ifuatavyo:-

  • Benki ya DCB
  • Finca
  • Tanesco
  • Nida
  • Bank ya CRDB
  • TTCL
  • Makao Makuu ya Halmashauri
  • Oilcom
  • Lake Oil


HALI YA MAENDELEO YA WATU:

Katika Kata ya Ndugumbi, mipangomiji ni ya wastani, lipo eneo la Bonde Mtaa wa Makanya Vigaeni.

Matangazo

  • KUFUTA TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI March 14, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA March 13, 2023
  • TANGAZO KWA WASIOLIPIA VIWANJA BOKO DOVYA (KWA SOMJI) NA SALASALA February 15, 2023
  • MABADILIKO YA SIKU YA MAFUNZO YA WASIMAMIZI WA MAUDHUI, WASIMAMIZI WA TEHAMA NA MAKARANI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 28, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • JAPAN YAIPATIA MSAADA MZIMUNI SEKONDARI

    March 15, 2023
  • VIKUNDI VYAASWA MATUMIZI SAHIHI YA MIKOPO

    February 18, 2023
  • "HAKUNA TIMU KUBWA ZAIDI YA KMC FC"

    February 18, 2023
  • ULINZI NI KIPAUMBELE KINODONI-DC SAAD

    February 12, 2023
  • Tazama zote

Picha Jongefu

VIKUNDI VILIVYOSEPA NA BILIONI 11 VYAKALIWA KOONI MANISPAA YA KINONDONI. REJESHENI...
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • TAARIFA KWA UMMA
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.