Tarehe iliyowekwa: February 20th, 2024
Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni limpongeza Afisa Elimu Msingi, Mwl. Theresia Kyara kwa kuinua kiwango cha ufaulu.
Pongezi hizo zimeenda sambamba na zawadi kwa Mwl. Kyara ...
Tarehe iliyowekwa: February 20th, 2024
Zaidi ya wakazi 153 wa Manispaa ya Kinondoni wamepatiwa Hati miliki ya Ardhi ikiwa ni utekelezaji wa zoezi la Ardhi Kliniki lililoanza hivi karibuni.
Mkuu wa Kitengo cha Ardhi Manispaa ya Kinondoni...
Tarehe iliyowekwa: February 20th, 2024
Mbunge wa Kawe, Mheshimiwa Josephat Gwajima, amewataka Watumishi kuwa waadilifu katika kutatua changamoto za Ardhi.
Alisema, "kuna baadhi ya Watumishi ni chanzo cha migogoro kwa kutotenda haki. Ali...