• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

VIONGOZI KINONDONI ZIARANI LOUDI, CHINA

Tarehe iliyowekwa: July 2nd, 2023

Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Mhe. Songoro Mnyonge akifuatana na Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, Bi Hanifa S. Hamza jana walipokelewa rasmi kwenye Makao Makuu ya Manispaa ya mji wa Loudi na kufanya mkutano na viongozi wa mji huo wakiongozwa na Makamu wa Kwanza wa Meya anayeshughulikia utendaji(Executive Vice Mayor) Mheshimiwa Jiang Tianthai.

Viongozi wengine waandamizi waliohudhuria mazungumzo hayo ni Makamu wa Pili wa Meya, Mhe. Yu Min, Naibu Katibu Mkuu wa Chama Tawala cha China cha CPC wa Manispaa ya Loudi ambaye pia ni Mkurugenzi wa Mambo ya Nje wa Manispaa ya Loudi, Mhe. Deng Wei, Mkurugenzi anayeshulikia elimu katika Manispaa ya Loudi, Mhe Liu Guoliang na Mkurugenzi wa Utamaduni, Michezo, Radio na Utalii wa Manispaa ya Loudi, Mhe Peng Yiling.

Akiongea katika mkutano huo, Makamu wa Kwanza wa Meya Mhe. Jiang aliyemwakilisha Meya wa Manispaa hiyo, Mhe. Zeng Chaoqum ambaye yupo safarini nje ya China alisema, Manispaa ya Loudi imejidhatiti kushirikiana na Manispaa ya Kinondoni katika nyanja za maendeleo ya kijamii kama afya, elimu, michezo, miundombinu, udhibiti wa taka na masuala ya TEHAMA.

Alisema Madiwani na watendaji wa Kinondoni wanakaribishwa Loudi ili kwa pamoja waweze kubadilisha uzoefun a kutumia utaalam kwa faida ya wana Kinondoni na Tanzania kwa ujumla

Akiongea katika mkutano huo, Meya wa Manispaa ya Kinondoni Mhe Songoro Mnyonge aliutaka uongozi wa mji wa Loudi kuisaidia Manispaa ya Kinondoni katika utaalam wa nyanja za elimu, uchumi, miundombinu,afya na michezo kwani wao wamepiga hatua kubwa katika maeneo hayo na mengineyo yabayoweza kuwa kichocheo cha maendeleo ya wananchi.

Naye Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni,Bi Hanifa Suleiman Hamza aliwapongeza viongozi wa Loudi kwa mapokezi mazuri na kuwaomba waisaidie Kinondoni kufikia malengo ya kuwatumikia wananchi kwa maendeleo ya kasi zaidi.

Mapema asubuhi viongozi wa Manispaa ya Loudi waliwatembeza Meya, Mkurugenzi na Afisa Uwejezaji wa Manispaa, Bw. Shedrack Mbonika kwenye kiwanda cha kuzalisha vifaa vya michezo cha Inlang ambako walisaini makubaliano "MoU" ya kuisaidia timu ya Manispaa ya KMC FC vifaa vya michezo, walitembelea Shule ya Kati ya Xingxing ambayo inatumia teknolojia ya habari kufundisha wanafunzi

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.