• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Matukio ya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo cha mijini
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji, mifugo na uvuvi
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Baraza la Madiwani
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

Mipangomiji na maendeleo ya makazi

IDARA YA MIPANGOMIJI:

IDARA YA MIPANGOMIJI:

Idara ya Mipangomiji Manispaa ya Kinondoni imejumuisha Vitengo vifuatavyo:-Mipangomiji, Uthamini, Ardhi, na Upimaji na Ramani na Mali Asili.    

MAJUKUMU YA KITENGO CHA MIPANGOMIJI:

Mipangomiji inayo majukumu mawili makubwa ambayo yamegawanyika kama ifuatavyo:-

•Kupanga (Planning and Design)

•Kusimamia Maendeleo ya ukuaji wa mji (Development control)


1. KUPANGA

  • Kuandaa michoro ya Mipangomiji (town planning drawings) katika maeneo ambayo hayajaendelezwa kwa kiasi kikubwa.
  • Kuandaa mipango ya urasimishaji makazi katika maeneo yaliyoendelezwa.
  • Kuandaa mipango Kamambe (Masterplan)  


2. KUSIMAMIA MAENDELEO YA UKUAJI WA MJI

  • Kushughulikia maombi ya kumilikishwa ardhi kwa kutoa masharti ya uendelezaji katika majalada ya Hati.


Mahitaji ya kumilikishwa kiwanja ni:-

1.Kuwe na Mchoro wa Mipangomiji unaoainisha matumizi ya ardhi ya viwanja

2.Kiwanja kiwe kimepimwa na upimaji kuidhinishwa na Mkurugenzi wa Upimaji na Ramani wa Wizara ya Ardhi

3.Mwombaji atachukua fomu za maombi ya kumilikishwa ardhi kutoka ofisi ya Afisa Ardhi wa Manispaa

4.Mwombaji atajaza fomu hizo atatakiwa kuziwasilisha zikiwa zimejazwa vizuri na aziambatanishe na Mchoro wa Mipangomiji na Ramani ya Upimaji wa kiwanja husika


Kushughulikia maombi ya vibali vya ujenzi

 Mahitaji ya maombi ya vibali vya ujenzi:-

1. Mwombaji aandae michoro ya usanifu majengo (Architectural drawings) ya jengo analokusudia kujenga. NB: Kwa viwanja vyenye hati miliki, ujenzi unaokusudiwa uzingatie masharti ya uendelezaji yaliyoandikwa kwenye hati ya umiliki wa kiwanja

2. Kwa majengo ya ghorofa mwombaji atatakiwa kuandaa na kuwasilisha michoro ya vyuma ya jengo kusudiwa (structural drawings)

3. Mwombaji atatakiwa kuandika na kuwasilisha barua ya maombi yakibali cha ujenzi kwa Mkurugenzi wa Manispaa

4. Mwombaji atawasilisha michoro yake akiambatanisha na nakala ya hati miliki ya kiwanja katika ofisi ya Msanifu majengo wa Manispaa na atapatiwa fomu maalum za kujaza na baadae atafunguliwa jalada la maombi yake.

5.Kwa maeneo ambayo hayajapimwa (unplanned areas), mwombaji atatakiwa kupitia hatua na. 1-3 hapo juu.

6.Kujaza fomu maalum ya maombi ya kibali cha ujenzi katika maeneo yasiyopimwa.

7.Kuwasilisha michoro ya majengo iliyoandaliwa ikiambatanishwa na fomu maalumu liyojazwa vizuri na Mchoro wa mipangomiji wa eneo husika.


Kushughulikia maombi ya mabadiliko ya matumizi ya Ardhi

1. Kuandika na kuwasilisha barua ya maombi ya kubadili matumizi ya Ardhi.

2. Barua iambanishwe na vitu vifuatavyo:-

a. Nakala ya hati/barua ya toleo.

b. Ramani ya michoro wa mipangomiji au (extract).

c. Ramani ya upimaji (kwa wale wenye offer pekee).

d. Nakala za risiti za malipo ya kodi ya ardhi.

e. Nakala za risiti za malipo ya kodi ya jengo kwa viwanja vilivyoendelezwa.

f. Michoro ya msanifu majengo (architectural drawings).

g. Nakala ya bango.


Bonyeza hapa kupata mfano wa bango la tangazo la kusudio la kubadili matumizi ya ardhi.

Bonyeza hapa kupata fomu ya maombi ya kibali cha ujenzi kwa maeneo yaliyopimwa.

Matangazo

  • MABADILIKO YA VITUO VYA KUFANYIA MAFUNZO YA SENSA July 30, 2022
  • MABADILIKO YA SIKU YA MAFUNZO YA WASIMAMIZI WA MAUDHUI, WASIMAMIZI WA TEHAMA NA MAKARANI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 28, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA SENSA KWA MAKARANI, WASIMAMIZI WA MAUDHUI NA TEHAMA TAREHE 27 JULAI, 2022 WILAYA YA KINONDONI July 27, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA SENSA 2022 July 19, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • "AHIMIZA UADILIFU WAKATI WA SENSA" DC GONDWE KINONDONI

    July 28, 2022
  • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI AFYA NA ELIMU KINONDONI IMEFANYA ZIARA KATA YA KAWE

    July 28, 2022
  • ZIARA YA KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI KINONDONI YATEMBELEA KATA YA TANDALE NA ASASI YA PHSRF

    July 27, 2022
  • ZIARA YA KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI KINONDONI YATEMBELEA KATA YA TANDALE NA ASASI YA PHSRF

    July 27, 2022
  • Tazama zote

Picha Jongefu

UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • VITUO VYA KUKUSANYIA MAPATO
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.