• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

STENDI YA DALADALA YA KISASA MWENGE

Start Date: 2019-07-01
End Date: 2023-11-30

Mradi wa Kituo cha kisasa cha Daladala eneo la Mwenge kilichopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni utasaidia kutatua changamoto za usafiri kwa kusogeza huduma za usafirishaji, kuboresha na kuweka mazingira mazuri ya miundombinu kwa jamii.

Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni katika kuboresha huduma za jamii kwa wananchi na wafanyabiashara wa eneo la Mwenge na Wilaya kwa ujumla iliamua kuanzisha ujenzi wa kituo cha mabasi Mwenge kwa fedha za mapato ya ndani katika mwaka wa fedha 2019/2020-2022/2023.

Mradi wa kituo cha mabasi Mwenge unatekelezwa kwa awamu mbili ambapo awamu ya kwanza mradi ulitekelezwa kwa Force Account chini ya Local Fundi kikosi cha Jeshi la Wananchi Na. 361 Rejimenti kwa gharama ya Tshs 7,033,575,688.00 gharama iliyotumika mpaka mradi unasimamishwa ni Tshs 1,905,373,174.43.

Awamu ya pili Halmashauri iliingia mkataba na Mkandarasi HEINAN INTERNATIONAL LTD ambaye ndiye mjenzi kwa gharama ya Tshs 9,810,000,000 na msimamizi wa mradi huu akiwa na mhandisi mshauri “CRYSTAL CONSULTANTS” kwa gharama ya Tshs 304,136,064.00. Utekelezaji umefikia asilimia 87 ambapo kazi zinazofanyika kwa sasa kwenye jengo la maduka na car service ni umalizaji (skimming, kuweka ceiling boards, tiles na kuweka fremu za madirisha). Jengo la msikiti kazi imekamilika.

Kituo cha mabasi kazi ya kuweka “bays” na kutengeneza barabara ya kutokea inaendelea.

Mkandarasi kalipwa pesa ya malipo kwa asilimia 26 ambayo ni Tshs 2,591,648,597.72. na malipo yaliyofanyika kwa Mhandisi mshauri ni Tshs 304,136,064.00 na mpaka sasa mradi huu umetumia jumla ya Tshs 4,801,157,835.72

Katika kukamilisha mradi huu kituo kitakua na majengo matatu ambayo ni jengo la biashara lenye sakafu tatu litakalokuwa na jumla ya maduka 128 kwa ajili ya wafanyabiashara, vyumba 11 vitakavyotumika kama ofisi za kukodi, vyumba 12 kwa ajili ya mama lishe, migahawa ya chakula miwili, dukala kuuza vyakula (min supermarket) moja na vyoo kila sakafu.

Pia kuna jengo la kuhudumia magari (car service) ambalo litakuwa na sehemu ya kutengenezea magari na bajaji pamoja na maduka mawili ya vifaa vya magari (spare parts).

Jengo la walinzi ni mojawapo ya mpango wa mradi huu. Licha ya kuwepo kwa majengo haya pia kuna mpango wa kuwepo kisima cha kuhifadhia maji safi (underground water tank) chenye uwezo wa lita za ujazo 70,000.00 (70m3)

Kituo hiki cha mabasi kitakuwa na uwezo wa kuhudumia daladala 100 kwa wakati mmoja, magari binafsi 85 na bajaji 60.

Mradi huu unatarajiwa kuingizia Manispaa ya Kinondoni mapato ya Tshs. 800,000,000.00 kwa mwaka utakapokamilika.


Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.