• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

MRADI WA BARABARA KILONGAWIMA

Start Date: 2017-10-28
End Date: 2019-08-28

Barabara ya Kilongawima – Kunduchi ina urefu wa km 2 na ni miongoni mwa 0barabara zilizo katika Fungu la pili zenye jumla ya urefu wa km 11 ikiwa na gharama ya Shilingi 28,978,993,880.51. Mkandarsi mjenzi wa Mradi huu ni “China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC). Ujenzi wa Mradi huu ulianza rasmi tarehe 28 Oktoba 2017 na unatarajiwa kukamilika tarehe 28 Agosti 2019. Kwa ujumla kazi zinazoendelea kufanyika katika barabara hii ni ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami urefu wa km 2, ujenzi wa mifereji ya maji ya mvua wenye upana wa mita 1.1, ujenzi wa makalavati sita (6) yenye ukubwa wa mita 0.9 na urefu mita 10 (pipeculverts) kila moja, Ujenzi wa kalvati (Box culvert) lenye upana wa mita 2 na kina mita 1.2, Ujenzi wa kalvati (Box culvert) lenye matundu mawili (double cell) yenye upana wa mita 4 na kina mita 1.2 kila moja, uwekaji wa taa zinazotumia nguvu ya jua (Solar Street Lights) na ujenzi wa njia za watembea kwa miguu zenye upana wa mita 1.5.

Mradi huu unajengwa kwa gharama ya Shilingi Bilioni mbili, milioni mia tisa thelathini na tisa, laki sita sabini na tano, mia tano ishirini na saba (Shilingi 2, 939, 675,527.00) ambapo malipo yaliyofanyika mpaka sasa ni Shilingi Bilioni moja, milioni mia nane kumi na nane, laki sita tisini na mbili, mia tano thelathini na senti sita (Shilingi 1, 818, 692,530.06) Fedha hizo Mkopo kutoka Benki ya Dunia kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Manufaa ya Mradi huu wa Barabara ya Kilongawima – Kunduchi ni pamoja na;

  • Kusaidia kupunguza msongamano wa magari kwenye barabara mpya ya Bagamoyo (New Bagamoyo Road)
  • Kusaidia kupunguza mafuriko kutokana na ujenzi wa mifereji ya maji ya mvua na makalvati.
  • Kuongeza Usalama zaidi kwa wanaanchi na mali zao hasa wakati wa usiku kwa sababu barabara hii itawekwa taa za barabarani zinazotumia Nishati ya jua (Solar Street Lights).
  • Kusaidia kupunguza ajali kwa kiasi kikubwa kwa kuwa zitajengwa sehemu za watembea kwa miguu zilizotenganishwa na sehemu vinapopita vyombo vya Usafiri.

PICHA ZA MRADI WA BARABARA YA KILONGAWIMA-KUNDUCHI



Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.