• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

WIKI MBILI ZIMETOLEWA KWA WAMILIKI VIBANDA SOKO LA TEGETA NYUKI KUINGIA MKATABA NA HALMASHAURI

Tarehe iliyowekwa: June 11th, 2018

 NI KWA LENGO LA KUHAKIKISHA UTARATIBU UNAFUATWA KATIKA KUENDESHA BIASHARA HIZO NA HALMASHAURI KUKUSANYA MAPATO YAKE.


Wiki mbili zimetolewa kwa Wamiliki wa vibanda vilivyopo katika soko la Tegeta nyuki kuhakikisha wanaingia mikataba na Halmashauri ili waweze kufanya Biashara zao na pia mapato yaweze kukusanywa.

Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh Alli Hapi alipokuwa akiongea na wafanyabiashara hao katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo viwanja vya Manispaa.

Amesema kwa muda mrefu sasa wamiliki hao wa vibanda wamekuwa wakipangisha vibanda hivyo,kwa wafanyabiashara wengine kinyume cha utaratibu na kujipatia kipato kikubwa huku wakiilipa  Manispaa kiasi kidogo Cha fedha.

" leo hii tunapeleka miundombinu pale, hizo fedha zinarudije wakati mtu anampangisha mtu kwa tsh 150,000/=, alafu Halmashauri inapata tsh 21,000/=haiwezekani, hii lazima ifike mwisho, na mwisho wake ni mmoja tu, kama huna mkataba na mwenyemali tafsiri yake wewe ni mvamizi, anayefanya biashara aingie mkataba na Halmashauri mmiliki, kwa sababu wengi wenu mmekaa zaidi ya miaka kumi pale, hata kama ulijenga kibanda chako ndani ya miaka kumi umesharudisha fedha zako, halmashauri inapata 21,000/="Amebainisha Hapi.

Ameongeza kuwa imefika muda Sasa kwa Serikali kusimamia maeneo yake ya soko ili iweze kukusanya mapato yatakayowezesha kuboresha huduma nyingine za kiuchumi.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Ndg Maduhu Kazi amesema, watafanyia kazi maelekezo yote yaliyotolewa na mikataba itaandaliwa ili wamiliki hao wa frem waweze kufanya biashara zao na serikali iweze kujipatia mapato.

Kwa upande wao wamiliki wa vibanda hivyo wamekubaliana kwa kauli moja kushirikiana na serikali katika kuingia mikataba, kwenye  maeneo hayo ili waweze kufanya biashara zao kwa amani.


Imeandaliwa na

Kitengo Cha Habari na Uhusiano

Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.