• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

"WEKENI MIKAKATI, MBINU MBADALA KATIKA USAFI": RC CHALAMILA

Tarehe iliyowekwa: June 5th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila amewataka Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi, Makatibu Tawala wa Wilaya na Mameya wa Halmashauri zote za mkoa wa Dar es Salaam kuwa na mikakati madhubuti na mbinu mbadala na endelevu kwa lengo la kuhakikisha Jiji linakuwa safi muda wote usiku na mchana.

RC Chalamila amesema hayo leo Juni 05, 2023 katika kilele cha Siku ya Mazingira Duniani ambayo huadhimishwa tarehe 05 Juni kila mwaka na kwa Mkoa wa Dar es Salaam imeadhimishwa katika Wilaya ya Kinondoni iliyoenda sambamba na kauli mbiu isemayo: "Pinga Uchafuzi wa Mazingira Unaosababishwa na Taka za Plastiki".

"Niwaombe Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi, Makatibu Tawala Wilaya na Mameya wote kutoka Wilaya zote tano za Jiji la Dar es Salaam kuhakikisha wanaweka mikakati madhubuti na mbinu zilizo bora na endelevu katika kuhakikisha Jiji letu linakuwa safi muda wote na sio mchana tu", Amesema Mhe. Chalamila.

Pia, Mhe. Chalamila amesisitiza suala la kuachana na matumizi ya mifuko ya plastiki na kutumia vifungashio mbadala. "Dar es Salaam ina matumizi makubwa ya mifuko ya plastiki  katika uzalishaji, usambazaji na uuzaji wa plastiki hivyo elimu itolewe na kuacha matumizi hayo".

Aidha, Mkuu wa Mkoa amewaagiza Wakurugenzi wote kuwa na vitalu vya uzalishaji miti, maua na vingine vitakavyoweza kupendezesha mji wa Dar es Salaam kwani uchafu unaozalishwa na taka katika mji huu sasa ni fursa kwa vijana wengi kama ambavyo taasisi na vikundi mbalimbali vimekuwa vikijikita katika kutengeneza fursa kupitia taka.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe. Saad Mtambule amesema suala la utunzaji wa mazingira lipo vizuri Kinondoni na utunzaji wa mazingira unatakiwa uanzie ngazi ya familia.

"Kila mmoja anapaswa ajue jinsi ya kuhifadhi na ajue sehemu ya kupeleka taka ikiwemo matumizi sahihi ya taka zinazooza ili ziwe na manufaa kama mbolea na chakula cha mifugo na sio kuziharibu pasipo kujua faida zake", Amesema Mhe. Saad.

Maadhimisho hayo kimkoa yamefanyika katika Kata ya Makumbusho iliyopo Wilaya ya Kinondoni.


Imeandaliwa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini: 

Manispaa ya Kinondoni

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.