• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

WAKANDARASI KOTE NCHINI WAMETAKIWA KZINGATIA UBORA WA VIWANGO ,ILI KUFIKIA MALENGO YALIYOKUSUDIWA.

Tarehe iliyowekwa: January 23rd, 2018

 Wakandarasi wa barabara kote nchini wametakiwa kuhakikisha wanasimamia misingi ya kazi zao kwa kuhakikisha wanajenga barabara kwa kuzingatia ubora na viwango vinavyokidhi matakwa na malengo yaliyokusudiwa.

 Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri wa nchi ofisi ya Rais TAMISEMI Mh. Suleiman Jafo alipokuwa katika ziara yake ya kutembelea ujenzi wa barabara zilizopo chini ya mradi wa DMDP unaotekelezwa Manispaa ya Kinondoni. 

 Amesema ujenzi wa barabara hizi umetumia gharama kubwa, hivyo wahandisi wahakikishe wanasimamia viwango katika ubora uliokusudiwa bila kufanya mjadala wa aina yeyote unaonesha kwenda kinyume au tofauti na makubaliano hayo.

 "Mimi sitarajii katika barabara hizi baada ya mwaka mmoja, miaka miwili tunaanza kuziba viraka, barabara hizi tunatumia gharama kubwa Sana na hata ile mixture yake ni ya tofauti, kwa hiyo niwatake wakandarasi na hasa nyie ma injinia wetu hakikisheni ubora mnausimamia, hakuna ku-compromise katika swala zima la ubora wa barabara hizi "Amesisitiza Jafo. 

 Ameongeza kuwa lengo la mradi huu wa DMDP ni kuhakikisha linatatua changamoto kubwa za barabara walizokuwa wakizipata wananchi hasa zile zilizokuwa zikikumbwa na mafuriko kwa kukosekana kwa mitaro yenye ubora na inayokidhi viwango.

 Kwa upande wake mratibu wa Mradi wa DMDP kinondoni Ndg Mkelewe Tungaraza ambaye pia ni Muhandisi wa barabara ameahidi kusimamia ujenzi huo kwa kuhakikisha viwango vya ubora uliokusudiwa vinafikiwa na kwa wakati.

 Katika hatua nyingine Mh Jafo ameonesha kuridhishwa na hatua za ujenzi wa jengo uliofikiwa pamoja na ubora ulio nao jengo hilo linalotarajiwa kutumika kama ofisi na kuwataka wakandarasi hao kuhakikisha wanamaliza ujenzi huo kwa wakati na kuhakikisha linatumika kwa matumizi yaliyokubalika na si vinginevyo. 

 Waziri Jafo ametembelea barabara za DMDP za viwandani, M. M. K pamoja na kukagua hatua za utekelezaji wa jengo la mradi linalotarajiwa kutumika kama ofisi. 

 Imetolewa na
 Kitengo cha Habari na Uhusiano.
 Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.