• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

WADAU MBALIMBALI WA MAENDELEO WATAKIWA KUSHIRIKI UJENZI WA NYUMBA ZA MAASKARI, PAMOJA NA VITUO VYA POLISI

Tarehe iliyowekwa: May 25th, 2018

 Hayo yamezungumzwa na Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Majaliwa Kassim Majaliwa wakati wa ufunguzi wa kituo cha polisi cha mbweni kilichojengwa kwa nguvu za wananchi wakishirikiana na wadau wa maendeleo pamoja jeshi la polisi kilichopo Manispaa ya Kinondoni.

 

Amesema ujenzi wa vituo hivi utawarahisishia polisi wetu kufanya kazi katika mazingira rafiki na salama hasa ikizingatiwa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ipo makini katika kuhakikisha wanaimarisha miundombinu katika jeshi.

  "Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ina nia madhubuti ya kuhakikisha vituo hivi vya polisi vinaboreshwa, na ndio maana Rais wetu Dr. John Pombe Magufuli ameridhia kutumika kwa Bilioni Kumi kwaajili ya ujenzi wa nyumba za maaskari polisi, na kutoa kibali cha ajira kwa Askari 1500 ,"Amebainisha Waziri Majaliwa 

 Aidha amewataka jeshi la polisi pamoja na maboresho hayo, kuenda sambamba na uimarishaji wa nidhamu na maadili ya jeshi hilo.

 Awali akiongea kabla ya kumkaribisha waziri mkuu, Naibu waziri wa Mambo ya ndani ya nchi Mh Hamad Masauni amesema kituo hicho ni msaada mkubwa kwa wananchi wa mbweni na maeneo ya karibu kwani pamoja na mambo mengine kutakuwa na dawati la jinsia litakaloshughulikia kero mbalimbali za wananchi.

 Naye Kamanda wa jeshi la polisi nchini Tanzania IGP Simon Sirro amewataka wafungwa waliopata msamaha wa Rais kuwa raia wema,kujiepusha na uhalifu ili kuondokana na makosa yasiyoyalazima kwani kwa kutokufanya hivyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao. 

 Katika ziara yake hiyo, Mh Waziri Majaliwa amezindua kituo  cha polisi Mburahati na  Kiluvya vilivyopo Manispaa ya Ubungo katika hafla iliyoambatana na ugawaji wa vyeti kwa wadau mbalimbali walioshiriki ujenzi wa vituo hivyo ambao ni kampuni ya Estim, Twiga cement, TRA, Bakhresa,pamoja na Lake oil.


 Imeandaliwa na
 Kitengo cha Habari na Uhusiano.
  Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.