• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

UMOJA NA MSHIKAMANO VYATAJWA KUWA KIGEZO CHA UTEKELEZAJI BORA WA ILANI YA CCM KINONDONI

Tarehe iliyowekwa: April 19th, 2018

 Hayo yamethibitishwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam Bi Kate S. Kamba alipofanya ziara katika Wilaya hiyo ,kwa lengo la kukagua utekelezaji wa Ilani katika miradi inayoendelea kutekelezwa katika Halmashauri hiyo. 

 Amesema kwa hatua na ubora wa miradi hiyo, Kinondoni yadhihirisha ufuatiliaji, usimamiaji pamoja na mshikamano wa viongozi, walionao katika kuhakikisha wanafanikisha kusudi liletalo tija kwa wananchi wake. 

 "Nawapongeza Mh Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi, Baraza la madiwani, na wakuu wa idara na vitengo, hapa inaonesha kunamshikamano "

 Ameongeza kuwa mipango na mikakati iliyowekwa ni vema ikatekelezwa ili wananchi waweze kunufaishwa nayo, hasa ikizingatiwa mikakati hiyo ipo katika ilani inayotekelezwa kwa mwaka 2015-2020.

 Akisoma mpango wa utekelezaji wa Ilani ya CCM bi Gifti Isaya ambaye ni katibu tawala wa Wilaya kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, amesema mpango huo umeandaliwa kwa kuzingatia maelezo yaliyopo kwenye ilani pamoja na sera na miongozo mbalimbali ya kisekta ikiwa ni pamoja na taarifa mbalimbali zinazokusanywa.

 Aidha ameitaja mikakati hiyo kuwa ni uboreshaji na upanuzi wa huduma bora kwa jamii, uboreshaji wa elimu ya awali, msingi na sekondari, uboreshaji wa miundombinu ya kutolea huduma kwa wananchi pamoja na uhamasishaji wa matumizi endelevu ya maliasili na ardhi. 

 Nyingine ufanisi katika ukusanyaji wa mapato na kodi, uimarishaji wa sekta zisizo rasmi, usimamizi wa usafi pamoja na kusimamia mikakati ya kupunguza maambukizi ya ukimwi. 

 Naye Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Ndg Aron Kagurumjuli ameishukuru kamati hiyo kwa kuitembelea Halmashauri na kukagua miradi inayotekelezwa na kuahidi kuyafanyia kazi maelekezo na mapendekezo yaliyoinishwa na wajumbe. 

 Miradi iliyotembelewa ni ile ihusuyo sekta ya Elimu, afya na miundombinu ya barabara. 

 Imeandaliwa na
 Kitengo cha Uhusiano na Habari.
 Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.