• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

TAKRIBANI VIWANJA 5000 VIMEPIMWA KATIKA KATA YA WAZO ENEO LA NYAKASANGWE, NJE YA BAJETI YA SERIKALI.

Tarehe iliyowekwa: March 26th, 2018

 NI BAADA YA DC KINONDONI KUTATUA MGOGORO ULIODUMU KWA MUDA MREFU KATI YA WATU WENYE MASHAMBA NA WAKAAZI WA ENEO HILO. 

 Takribani viwanja 5000 vilivyoko Kata ya wazo eneo la Nyakasangwe Wilaya ya Kinondoni, vimepimwa nje ya bajeti ya Serikali, baada ya kutatuliwa kwa uliokuwa mgogoro wa muda mrefu uliohusisha wakaazi wa eneo lile pamoja na wenye mashamba. 

 Akiongea na wananchi wa eneo hilo,baada ya uzinduzi wa upimaji,  Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh Alli Hapi amesema amefurahishwa sana kwa mgogoro huu uliogharimu maisha ya watu kumalizika kwa kiwango na manufaa makubwa yenye tija kwa Taifa letu. 

 Amesema migogoro kama hii imekuwa changamoto kubwa ya amani katika Nchi yetu, hasa Wilaya ya Kinondoni inayohitaji hekima, busara, majadiliano ya kina, na masikilizano katika utatuzi wake. 

 Akitoa taarifa ya upimaji wa viwanja hivyo Mkurugenzi kutoka kampuni ya Afro Map Ltd iliyoendesha zoezi hilo la upimaji Ndg Fransis Mkwela amesema wamefanikiwa kupima maeneo ya wazi, maeneo ya shule ya Sekondari, maeneo ya viwanda vidogo vidogo, na maeneo ya nyumba za kuabuduia. 

 Maeneo mengine ni kituo cha polisi, maeneo ya Umma, eneo la kituo cha Afya,  eneo la zahanati na eneo la shule ya Msingi.

 Naye Mwenyekiti wa Mtaa wa Nyakasangwe Ndg Peter Belebela akimkaribisha Mkuu huyo wa Wilaya kwenye uzinduzi huo ameushukuru uongozi mzima kwa jitihada zilizofanyika kumaliza mgogoro huo na kuwataka wanachi wake kuheshimu zoezi hilo lá upimaji unaoendelea pamoja na miundo mbinu ya barabara na mipaka. 

 Mkutano huo umefanyika katika eneo la shule ya Msingi Nyakasangwe uliohusisha wananchi wa eneo hilo pamoja na viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali. 

 Imeandaliwa na
 Kitengo cha Uhusiano na Habari .
 Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.