• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

MRADI ULIOFADHILIWA NA SHIRIKA LISILO LA SERIKALI (JICA) KWA MANISPAA YA KINONDONI KUFIKIA TAMATI LEO

Tarehe iliyowekwa: January 31st, 2018

 NI ULE UHUSIANAO NA JINSI YA KUJIZUIA NA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA MAGONJWA KWA KUNAWA MIKONO KWA USAHIHI. 

 Mradi uliofadhiliwa na shirika lisilo la kiserikali la Japan international Cooperation Agency (JICA), juu ya kujizuia na kujikinga na maambukizi ya magonjwa kwa kunawa mikono kwa usahihi wafikia tamati. 

  Hitimisho hilo limefanyika leo katika shule ya Msingi Kigogo ambapo Mgeni rasmi katika shughuli hiyo ni Afisa Afya wa Manispaa Ndg John Kijumbe hafla iliyohudhuriwa na wageni kutoka Jica, Maafisa Kutoka Manispaa, pamoja na wanafunzi ambao ndio walengwa wakubwa. 

 Akizungumnzia mradi huo Ndg Kijumbe amesema pamoja na vitu vingine umeleta mafanikio makubwa yakiwemo kupungua kwa magonjwa yatokanayo na mikono michafu, kukuza uelewa juu ya elimu iliyotolewa kuhusiana na kunawa mikono, pamoja na usambazaji wa vifaa vya kunawia mikono mashuleni. 

 Aidha amebainisha changamoto zilizojitokeza wakati wa kuratibu mradi huo kuwa ni somo la kuzuia na kujikinga na maambukizi ya magonjwa kwa kutokunawa mikono kwa usahihi kutokuwa katika mitaala ya shule pamoja na ufinyu wa bajeti katika mpango kazi wa Halmashauri unaopelekea kushindwa Kuendeleza zoezi la unawaji mikono kwa usahihi. 

 Naye Mganga mfawidhi wa Kituo cha Afya Magomeni Dr. Omary Mwangaza amesema maradhi mengi yanayowapata watoto chini ya miaka mitano ni kutokana na kutumia mikono yao ikiwa michafu. 

 Ameongeza kuwa ni vema swala la kunawa mikono likawa sehemu ya mila na desturi ya wazazi kuwafundisha watoto, kwani kwa kufanya hivyo kutaisaidia serikali kupunguza bajeti kubwa inayopelekwa kwa matibabu ya watoto na kufanya vitu vingine vya Maendeleo. 

 Akiwashukuru Shirika la JICA kwa mradi huo, Afisa Afya kituo cha Magomeni ambaye ni mratibu wa mradi huo ameyataja maeneo ambayo mradi umetekelezwa kuwa ni Kata ya Tandale, Kigogo na Magomeni. 

 Aidha ameainisha mapendekezo yanayohitajika ili kuendelea kutekeleza mradi huo kuwa ni kutenga bajeti ya kutosha, kuwepo na muendelezo wa kufundisha wanafunzi juu ya maswala ya kunawa mikono, kuimarisha ushirikiano kati ya Nchi ya Japan na Tanzania, na kuwepo mtaala wa kufundishia mashuleni unaohusu njia kumi za unawaji mikono kwa usahihi. 

 Imetolewa na
 Kitengo cha Uhusiano na Habari. 

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.