• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM MH PAUL MAKONDA ARIDHISHWA NA HATUA ZA UJENZI -MAJENGO YA UTAWALA

Tarehe iliyowekwa: May 16th, 2018

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mh. Paul Makonda ameonesha kuridhika kwake na hatua  za ujenzi wa majengo ya utawala ya shule za msingi na sekondari, yanayoendelea kujengwa ikiwa ni awamu ya kwanza ya ujenzi wa takribani majengo 402, yanayotarajiwa kujengwa Mkoa wa Dar es salaam nje ya bajeti ya Serikali.

Hayo yamethibitika leo alipokuwa akikagua ujenzi wa jengo la utawala lenye ofisi nne,matundu ya vyoo pamoja na bafu, katika shule ya Sekondari Makumbusho ambapo ujenzi huo umekamilika.

Amesema dhamira yake ya dhati, pamoja na Serikali ya awamu ya tano chini ya Dr. John Pombe Magufuli ni kuona Mazingira ya waalimu wetu yanaboreshwa, hali itakayopelekea hari kubwa ya ufundishaji na kuleta matokeo chanya ya ufaulu kwa wanafunzi wetu.

Akionesha msisitizo wa azma yake hiyo nzuri amesema "lengo ni kujenga majengo ya utawala 402, ambapo 107 ni majengo ya utawala ya Sekondari, na 295 ni majengo ya utawala ya shule za Msingi,  Kazi hii ya ujenzi haihitaji shukrani, bali shukrani ziende kwa Mungu, fanyeni kazi kwa faida ya Tanzania " amesema Makonda

Naye Katibu wa kamati ya ujenzi wa ofisi za waalimu Mkoa wa Dar es salaam, ambaye pia ni Afisa elimu wa Mkoa Mwalimu Khamis Lissu, amesema kwa sasa yanahitajika matofali milioni mbili, laki mbili na ishirini elfu, hadi majengo hayo kukamilika, na kuwataka wadau wa elimu kujitokeza kwa wingi kuchangia ili waweze kufanikisha azma hiyo.

Akitoa neno la shukrani, Afisa elimu Sekondari wa Manispaa hiyo, Ndg Rodgers Shemwelekwa amesema huo ndio uongozi unaoacha alama na ni mbegu inayoendelea kuchipua na isiyokufa katika sekta ya Elimu kwa kuthamini mchango unaotolewa kwa kutujengea majengo hayo ya utawala, na kuahidi kuyatunza kwa matumizi sahihi ili yalete tija kwa wanafunzi na Taifa la Tanzania kwa ujumla.

Katika hatua nyingine Mkuu huyo wa Mkoa wa Dar es salaam amewatakia watanzania wote mfungo mwema wa Mwezi mtukufu wa Ramadhan, na kuwaahidi usalama na utulivu katika kipindi chote cha Mfungo huo wa Ramadhan.


Imeandaliwa na

Kitengo cha Habari na Uhusiano.

Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.