• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

MKURUGENZI WA MANISPAA YA KINONDONI AMEWATAKA WAKANDARASI WANAOFANYA KAZI YA KUZOA TAKA KATIKA MAENEO MBALIMBALI YA MANISPAA HIYO KUFANYA KAZI HIYO KWA KUZINGATIA MIKATABA YAO

Tarehe iliyowekwa: January 4th, 2019

Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni Ndugu Aron Kagurumjuli ametoa kauli hiyo leo alipokutana na wakandarasi hao kwenye ukumbi wa Manispaa kwa lengo la kuzungumza nao kufuatia kuwepo kwa malalamiko kutoka kwenye baadhi ya mitaa Kuwa kuna wakandarasi ambao hawafanyi majukumu yao kikamilifu hali inayopelekea uchafu kuzagaa kwenye baadhi ya maeneo.


Amesema wakandarasi hao wameomba zabuni ya kuzoa taka katika kata na mitaa jukumu lao la msingi ni hilo hivyo hakuna sababu yoyote kwao kuacha majukumu yao ya msingi kwa kigezo Cha kuwepo kwa utaratibu mpya wa ukusanyaji mapato kwani utaratibu huo hauathiri na Wala hautaathiri malipo yao kwa mujibu wa mkataba.

Akitoa ufafanuzi juu ya utaratibu mpya wa ukusanyaji wa mapato ya taka, Mkurugenzi Amesema kuwa wamefikia uamuzi wa kutumia utaratibu huo baada ya kufanya upembuzi yakinifu na kujiridhisha kuwa utaratibu huo utasaidia kudhibiti mapato ambayo hapo awali yalikuwa yakipotea.

Utaratibu wa sasa unamuacha mkandarasi na jukumu moja tuu la kuzoa taka na jukumu la kukusanya mapato linabaki kwa serikali ya mtaa, na mkandarasi atalipwa kwa mujibu wa kiwango Cha tripu (awamu) za taka alizozoa.


Aidha Mkurugenzi amewaagiza watendaji wa kata na mitaa kusimamia kikamilifu zoezi la uzoaji wa taka katika kata na mitaa yao huku akiwataka kutenga maeneo maalumu ambayo taka zitakusanywa hapo kwa siku maalum ili ziweze kufikiwa kwa urahisi na magari ya kuzolea taka.

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni Mhe Benjamin Sitta amewasisitiza wakandarasi hao kushirikiana bega kwa bega na Halmashauri katika shughuli hizi za uzoaji taka kwani nia ya Halmashauri kuboresha namna ya ukusanyaji wa mapato ni njema kabisa na Halmashauri ipo tayari kupokea maboresho yoyote yatakayoonekana yanastahili.

Imeandaliwa na
Kitengo Cha Habari na Uhusiano
Manispaa ya Kinondoni.








   










Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.