• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

MAFUNZO YA KILIMO YANAYOENDELEA MALOLO -KINONDONI, YAWE CHACHU YA MAENDELEO KATIKA SEKTA HIYO, KUELEKEA UCHUMI WA KATI WA VIWANDA

Tarehe iliyowekwa: May 1st, 2018

Hayo yamezungumzwa na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Mh Kisare Makori ,kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mh. Paul Makonda, katika ufunguzi wa mafunzo ya siku mbili yahusuyo utaalamu wa Kilimo mjini yanayoendeshwa na wakorea kwa kushirikiana na KOIKA kituoni hapo.

Amesema Mafunzo haya ni kufuatia ushirikiano mzuri uliopo kati ya Dar es salaam na jimbo la Gyeongsangnam nchini Korea, yenye lengo la kubadilishana uzoefu katika sekta ya Kilimo mjini, hasa ikizingatiwa ari ya serikali ya sasa ni kujenga Uchumi wa Kati wa viwanda.

"Ni Jambo jema kuwa na ushirikiano wa kimkakati na nchi zilizopiga hatua kwenye sekta muhimu kama za Kilimo, na kuwa tayari kuachilia utaalam huo kwa nchi zinaoendelea kama ya kwetu, hivyo mafunzo haya yachukuliwe kwa umuhimu mkubwa ,hasa nyie washiriki wa semina hii, na mkawe mabalozi wazuri wa kusambaza utaalamu wa kilimo cha mjini"Amesema Makori.

Naye mratibu wa mafunzo haya kutoka Kinondoni Ndg Hija Salehe ambaye pia ni Afisa Kilimo wa Manispaa hiyo amesema, wako tayari kupokea utaalam utakaoleta tija ya Maendeleo katika eneo hili la kilimo, kwani ndio njia pekee ya kumkwamua mkulima kutoka hatua ya chini kwenda ya kati kwa kutumia eneo dogo kupata mazao bora kuelekea uchumi wa kati wa viwanda.

Aidha amezitaja mada zitakazofundishwa kwa siku hizo mbili kuwa ni namna ya bora ya kuongeza ubora wa Kilimo unaoenda sambasamba na hali ya maisha ya mjini,  uthibiti wa magonjwa na wadudu katika Kilimo cha mazao ya bustani, mbinu za utunzaji na uendeshaji katika kilimo na mazao ya bustani, pamoja na mpango mkakati wa matumizi sahihi ya mbinu za Kilimo cha mbogamboga.

Akielezea umuhimu wa mafunzo haya kwa Tanzania, Mkurugenzi wa Mahusiano ya kibiashara ya kimataifa kutoka Korea ya Kusini Bw. Youngjun Kwack amesema, wako tayari kusaidiana na nchi ya Tanzania katika kuhakikisha mabadiliko makubwa yanapatikana katika sekta ya Kilimo, kwani hali ya Kilimo iliyoko sasa Nchini, yafanana na miaka ya 70 ya Kilimo nchini kwao.

Mafunzo haya yamehusisha maafisa kilimo wa Halmashauri zote tano za Mkoa wa Dar es Salaam, wakufunzi kutoka Korea, washiriki kutoka KOIKA, pamoja na wakulima wadogo wadogo wa Kilimo cha mbogamboga kutoka Kinondoni.


Imeandaliwa na

Kitengo cha Uhusiano na Habari.

Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.