• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

KUELEKEA NANE NANE : BANDA LA KINONDONI LASHANGAZ WENGI.USIPITWE NA WEWE.

Tarehe iliyowekwa: August 3rd, 2017


 NI KUHUSIANA NA UTAALAMU ADIMU NA WA KISASA WA JINSI YA? KUZALISHA MALISHO YA HYDROPHONIC .

 Kuelekea kilele cha Nane nane Mkoani Morogoro Manispaa ya Kinondoni imejipanga vema katika maswala ya Ufugaji. 

 Leo inakuletea Technolojia ya kitu kinaitwa Hydrophonic Fodder. 

 Technolojia hii ya Hydrophonic fodder ni mbinu ya kukuza mimea kwa kutumia mchanganyiko wa vurutubisho vya madini katika maji bila kutumia udongo. 

 Mchakato huu huchukua muda wa siku 5-7 kukamilika. Unachotakiwa kufanya ni kuchukua Kilo moja ya mbegu za ngano au mtama au shayiri au mahindi na kuziotesha kisha kumwagiliwa virutubisho maalum(Hydrophonic Nutrients). 

 FAIDA ZA CHAKULA CHA HYDROPHONIC FODDER KWA MIFUGO. 

 Ni nafuu sana ukilinganisha na gharama za chakula cha madukani. 

 Kina virutubisho na vitàmini mara 3 zaidi ya chakula cha kawaida. 

 Hupunguza magonjwa ya mfumo wa hewa kama vile mafua kwa mifugo na mfugaji kwani hakina vumbi. 

 Kina Protein ya kutosha, chakula chake ni laini, mifugo hukua kwa haraka Sana na hupunguza gharama za ufugaji kwenye manunuzi ya chakula kwa asilimia 50-75.

 HATUA KATIKA KUZALISHA HYDROPHONIC.
 Mfugaji anaweza kuzalisha malisho yake mwenyewe nyumbani. Mambo muhimu ya kufuata ni haya hapa :

 Chagua mbegu ambazo hazijaanza kuchipua, na hazina kemikali ama dawa ya aina yeyote. 

 Loweka mbegu katika mchanganyiko wa maji na chlorine kwa masaa mawili kuepusha kuvunda, ama vimelea vya magonjwa kumea na kukua kwenye malisho. 

 Zitoe mbegu kwenye maji, kisha zioshe, ziloweke kwenye maji safi kwa masaa 24 kuwezesha mbegu kufyonza maji vema. 

 Katika kupanda mbegu, pima  kilo mbili za mbegu kwa kila trei yenye urefu wa cm 80 kwa upana wa cm 40.

 Sambaza mbegu kwenye trei kwa usawa, (zisizidi cm 3kimo)  ili kuwe na nafasi ya kutosha kwa kila mbegu kuchipua. 

 Hakikisha trei zinamatundu kwenye kitako(chini) ambayo yamesambaa kwa usawa kuwezesha maji ya ziada kutoka. 

 Hamishia trei kwenye chanja ulizotengeneza. Mbegu zitaanza kuota katika hatua hii. Fanya hii ni siku ya kwanza. 

 JINSI YA KULISHA. 

 KUKU: kwa kuku 100 wanaotaga (Layer) wape kilo 8 za hydrophonic na waongezee kilo 4 za chakula cha layer.(Layer Mash) kwa siku. 

 Nguruwe: Katika unenepeshaji wake kilo 2 za hydrophonic na 1.5 za chakula kikavu (Nafaka)  kwa nguruwe mmoja kwa siku. 

 Ngombe, Mbuzi :wanaweza kutegemea majani haya tu na kuwa na uzalishaji mzuri bila nyongeza ya mchanganyiko wa nafaka.

 Sungura :wanaweza kutegemea majani haya tu lakini ni vema kuwapa nyongeza ya mchanganyiko. 

 Kwa elimu zaidi juu ya technolojia ya Hydrophonic, usikose kutembelea banda la Manispaa ya Kinondoni ukutane na wataalamu wa Mifugo wapate kukujuza mengi zaidi. 

 Imetolewa na
 Kitengo cha Uhusiano
 Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.