• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

KINONDONI YAZINDUA MFUMO WA KUTUMIA SIMU MPANGUSO KUPATA USHAURI WA LISHE (BETTER YOUR HEALTH) KWA WATUMIAJI WA DAWA ZA KUFUBAZA MAKALI YA VIRUSI VYA UKIMWI

Tarehe iliyowekwa: July 29th, 2020

Akizindua mfumo huo wa kutumia simu mapanguso( smartphone) better your health kupata ushauri wa lishe na  taarifa za hali ya afya na kwa watumiaji wa dawa za kufubaza makali ya virusi vya UKIMWI (vvu) kwa kushirikiana na wadau kutoka  Fabstech, Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni Dr. Samweli lizer kwa niaba ya Mkurugenzi wa Manispaa hiyo amesema ni mfumo mzuri utakaosaidia kutoa taarifa za msingi katika kuhakikisha mtumiaji anazipata ili kuboresha afya yake.

Amesema ni fursa pekee itakayosaidia kundi hili maalumu kula mlo kamili kwa kufuata utaratibu hali itakayosaidia kupungua kwa maambukizi katika jamii.

Akiutambulisha mfumo huo Dr.Linda Mlunde kutoka kampuni ya teknolojia inayojishughulisha na utengenezaji wa mifumo ( Fabstech ltd).amesema ni mfumo rafiki wa kutumia simu kwa  watumiaji wa dawa za kufubaza makali ya VVU  ili kupata ushauri wa lishe na taarifa za afya  zitakazowasaidia kuimarisha afya zao.

Ameongeza kuwa mtumiaji wa mfumo huu atatakiwa kuwa na simu mpanguso ( smartphone) ili aweze kujisajili na ili mtumishi aweze kutumia mfumo atafuata maelezo na kuingiza taarifa zake  kwenye mfumo ambazo ni uzito, urefu, muda na kiasi cha chakula alichokula kwa siku baada ya kuingiza taarifa hizo kwenye mfumo mtumiaji atapata mrejesho kuhusu afya yake ya mwili na ushauri wa lishe kutokana na Hali yake ya afya aliyonayo.

Akieleza jinsi ya kujiunga na mfumo huo wa Better yourHealth Ndg Karimu Iddi kutoka kampuni ya Fabstech ameeleza namna ya kupata mfumo huo katika simu yako kwa kufuata hatua ambazo ni kufungua Playstore-na kupakua app ya chrome, pili Update App ya Chrome, tatu kufungua App ya Chrome na kuandika maneno, betteryouth.co.tz, nne kubonyeza kitufe Cha Go, tano kufuata maelekezo ili kuruhusu mfumo wa better your helath katika simu yako, kujisajili na kuanza kutumia mfumo wa better YH.

Naye Bi.Gisela Mallya ambaye ni mtumiaji wa mfumo wa better your health amesema ni mfumo rafiki na mzuri kwani unasaidia kupata ushauri wa lishe na taarifa stahiki zinazomuwezesha kujua uwiano Kati ya urefu na uzito wake na suala zima la lishe  hali uliyonayo ikiwa ni pamoja na aina yachakula unachotakiwa kula, kiasi cha chakula na wakati gani unaoenda sambamba na nini kifanyike pindi unapohitajika kufanya hivyo.

Uzinduzi wa mfumo huo uliodhaminiwa na PEPFAR, MCC, na WFP, na kusimamiwa na Tanzania data lab, mehudhuriwa na wajumbe kutoka Tanzania Data lab (dLab), CHMT,  watoa huduma wa afya kutoka vituo vya afya, watoa huduma kutoka ngazi ya jamii, Wateja ambao ndio watumiaji wa mfumo na timu iliyotengeneza mfumo wa better your health kutoka kampuni ya Fabstech limited.

Imeandaliwa na

Kitengo Cha Habari na Uhusiano

Manispaa ya Kinondoni

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.