• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

KINONDONI YATANGAZA RASMI MAENEO MAALUMU (SMART AREA).

Tarehe iliyowekwa: August 3rd, 2021

Maeneo hayo yametangazwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe.Godwin Gondwe alipokuwa katika ziara yake ya kikazi ya ukaguzi wa miradi ya upanuzi wa barabara inayosimamiwa na Tanroads kwa lengo la kujiridhisha na hatua za utekelezaji zilizofikiwa, ikiwa ni pamoja na thamani ya fedha na kiwango cha mradi katika ubora.

Amesema kutangaza kwa maeneo haya ya Magomeni mataa hadi Morroco na Morroco hadi Mwenge kuwa maeneo maalumu "smart area" ni katika kutekeleza agizo la Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Kassim la kuhakikisha kila Halmashauri inakuwa na eneo kwa ajili ya vivutio vya utalii.

Aidha ameongeza kuwa  maeneo haya yanatakiwa kutunzwa kwa kufanyiwa Usafi, kupendezeshwa kwa kuotesha maua na nyasi, kutokubadilishwa mandhari yake ikiwa ni pamoja na kutokuwepo uharibifu wowote pembezoni mwa barabara.

" Tanroads hakikisheni mnasimamia suala la wamachinga kwenda eneo walilopangiwa ili kupisha ujenzi na ukamilishaji wa barabara unaoendelea kwa sasa, lakini pia simamieni Mradi huu wa barabara unaopita eneo la Morroco hadi Mwenge ukamilike kwa wakati, barabara hii itunzwe na iheshimike ili wananchi wanufaike, tusingependa eneo hili liharibiwe, lichafuliwe, bali liboreshwe na kutunzwa, nalitangaza Rasmi kuwa "smart area" Ameongeza Gondwe.

Naye Mhandisi kutoka Tanroads Bi. Mwanaisha Rajab alipotakiwa kuzungumza amesema anayapokea maelekezo yote kutoka kwa uongozi na kuhakikisha miradi yote ya barabara inayosimamiwa na Tanroads kwa Manispaa ya Kinondoni inamalizika kwa wakati kutokana na makubaliano ya mkataba na kwa viwango vilivyokusudiwa ili viweze kuleta tija kwa maslahi mapana ya wananchi wa Kinondoni na Taifa kwa ujumla.

 Katika hatua nyingine Mkuu huyo wa Wilaya Mhe. Godwin Gondwe amezitaka Taasisi na mamlaka husika zikiwemo Tanesco na Dawasco kushirikiana kwa pamoja katika kuhakikisha miradi ya Serikali inatekelezwa ili iweze kuondokana na changamoto zinazoweza kukwamisha utekelezaji wake kwa viwango vilivyokusudiwa na yenye kuleta tija kwa Taifa.

Katika ziara hiyo iliyohusisha Kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya imetembelea mradi wa upanuzi wa barabara ya Morroco-Mwenge yenye urefu wa Km 4.3, barabara ya Ardhi-Makongo yenye urefu wa Km 4.5, na barabara ya Madale.

Imeandaliwa na

Kitengo Cha Habari na Uhusiano

Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.