• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

KINONDONI YAJIVUNIA MAENDELO KIPINDI CHA MIAKA 62

Tarehe iliyowekwa: December 9th, 2023

Halmashuri ya Manispaa ya Kinondoni inajivunia kuwa na maendeleo lukuki katika kipindi cha miaka 62 ya uhuru wa Tanzania.

Hayo yamebainishwa na Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni Bw. Jabir Chilumba wakati akiongea katika kongamano la kuadhimisha miaka 62 ya Uhuru Wilaya ya Kinondoni.

“Hakika Waasisi wetu wamefanya kazi kubwa kutoka awamu ya kwanza ya Mwl. Julius Kambarage Nyerere hadi awamu hii ya sita ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwani tunaona maendeleo makubwa katika sekta mbalimbali ndani ya Manispaa ya Kinondoni,” amesema Bw. Jabir.

Bw. Jabir amesema kuwa tangu tupate Uhuru Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni imefanikiwa kujenga na kuboresha miundombinu ya barabara kwa kiwango cha lami zaidi ya kilomita 1000 tofauti na hapo awali Kinondoni ilikuwa na Kilomita 51 tu zilizojengwa kwa kiwango cha lami.

Aidha, Bw. Jabiri amebainisha kuwa katika sekta ya elimu Manispaa ya Kinondoni hapo awali ilikuwa na Shule za Msingi 16 tu za Serikali na sasa kuna Shule za Msingi 186 ikiwa baadhi yake zimejengwa kwa mfumo wa Ghorofa tofauti na hapo awali hazikuwepo kabisa ndani ya Manispaa ya Kinondoni.

Lakini pia Bw. Jabir amebainisha kuwa hapo awali Manispaa ya Kinondoni haikuwa na utaratibu wa kutoa mikopo ya 10% lakini katika kipindi cha miaka 62 ya Uhuru Manispaa ya Kinondoni imeweza kutoa mikopo ya 10% kwa akina Mama, Vijana na Watu wenye Ulemavu ambapo kwa mwaka huu Manispaa imetenga kiasi cha Shilingi Bilioni 5.2 kwa ajiri ya Mikopo.

Pia Bw. Jabir amesema kuwa hapo awali Manispaa ya Kinondoni ilikuwa na vituo vitatu (3) vya kutolea huduma za afya lakini katika kipindi cha miaka 62 ya Uhuru Manispaa ya Kinondoni imefanikiwa kuwa na vituo vya kutolea afya 35 vya Serikali na vituo zaidi ya 100 vya watu binafsi.

Mbali na hayo pia Kaimu Mkurugenzi huyo amesema kuwa hapo awali Manispaa ya Kinondoni ilikuwa na bajeti ya pato la ndani ilikuwa ni Shilingi Bilioni 9 lakini hivi sasa limeongezeka hadi kufikia kiasi cha Shilingi Bilioni 62.9 kwani mfumo wa ukusanyaji mapato umeboreshwa mara dufu.

Hivyo tunamshukuru sana Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuiongoza Nchi kwa weledi na umakini mkubwa ikiwepo kuwajali na kuwafikia wananchi wake.

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.