• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

KINONDONI KUWA KITIVO CHA ELIMU YA UOGELEAJI.

Tarehe iliyowekwa: October 21st, 2017

 NI BAADA YA KUJENGWA MABWAWA(SWIMING POOL) YA KISASA YATAKAYOTUMIKA KUFUNDISHIA. 

 Manispaa ya Kinondoni imetakiwa kuhakikisha inatafuta eneo kwa ajili ya kujenga bwawa la kisasa litakalotumika kufundishia  vijana wa Kitanzania jinsi ya kuogelea. 

 Agizo hilo limetolewa leo na Waziri wa Nchi ofisi ya Rais TAMISEMI Mh Suleiman Jafo alipokuwa akiongea na uongozi wa Manispaa  hiyo, pamoja na waalimu wa shule ya Msingi Oyaterbay.

 Amesema Serikali ndio wadau wakubwa wa kuhakikisha michezo inawekewa kipaumbele pamoja na Mazingira mazuri ili iweze kwenda mbele na kufanya vizuri katika mashindano ya Kimataifa. 

 Ameongeza kuwa Serikali itahakikisha imejenga mabwawa makubwa na ya kisasa ili Tanzania iweze kuibua vipaji vya wanamichezo wa michezo hii ya kuogelea. 

 "Mkuu wa Wilaya nakuagiza kanitafutie pitch nzuri ya kujenga bwawa la kuogelea, sio la makanyanya, litakaloruhusu vijana wetu wapate sehemu ya kufanya hii michezo ya bwawa "Ameagiza Jafo

 Naye Wazi wa habari, Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe amesema ni lazima kuhakikisha miundombinu ya michezo nchini Tanzania inaimarishwa kwa kiwango cha juu ili tuweze kufikia malengo ya Kimataifa ya michezo tunayoitaka. 

 Ameongeza kuwa kwa kufanya hivyo kutawezesha kuibua vipaji ,na kuvilea ili tuweze kuitangaza nchi yetu kimataifa na kupata medani za ushindi katika michezo hii. 

 "waogeleaji nchi hii wako wengi, lakini hawana weledi, kwa hiyo tunahitaji kulea hivi vipaji "Amesisitiza Mwakyembe. 

 Katika hatua nyingine Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh Alli Hapi ameahidi kutekeleza agizo la Waziri Jafo kwa kuhakikisha kunapatikana eneo zuri la kujenga bwawa la kuogelea la Kimataifa. 

 "Sisi tunayo maeneo ya kutosha, kazi tuliyopewa ni kutafuta eneo zuri ambalo litafaa kujenga swimming pool ya kisasa, ya Kimataifa, ili tuweze Kinondoni kuzalisha wanamichezo wengi zaidi,tuko tayari, tunakwenda kujipanga, na ndani ya muda mfupi tutaweza kupata hilo eneo ambalo litafaa kwa ajili ya kwenda kujenga swimming pool ya kisasa "Amebainisha Hapi 

 Kadhalika Mstahiki meya wa Manispaa hiyo Mh Benjamin Sitta ameishukuru Serikali kwa kuwapatia fursa ya wadau watakaowajengea kiwanja kizuri kwa ajili ya mchezo wa kuogelea. 

 Ameahidi kutoa ushirikiano wa kutosha kuhakikisha hili linatekelezeka ndani ya muda mfupi hasa ikizingitiwa michezo si tu kufanya mazoezi, bali pia ni ajira. 

 Imetolewa na
 Kitengo cha Uhusiano

 Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.